Dawa ya tezi dume yagunduliwa yaadimika Dodoma

Dawa ya tezi dume yagunduliwa yaadimika Dodoma

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Siku tano baada ya dawa ya Uriphytol inayoelezwa kukinga na kutibu tatizo la kutanuka kwa tezi dume kuanza kuuzwa rasmi, dawa hiyo imeadimika katika maduka ya dawa mkoani Dodoma ilikoanza kuuzwa.

Dawa hiyo imegunduliwa na wataalamu wa Kitanzania, licha ya Serikali bado haijatoa tamko rasmi kuhusu kutumika kwa dawa hiyo, tayari imeonekana kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa dawa hiyo nchini.

1732554633956.jpg

#azamnewsupdates

✍@official_jennifersumi
 
Siku tano baada ya dawa ya Uriphytol inayoelezwa kukinga na kutibu tatizo la kutanuka kwa tezi dume kuanza kuuzwa rasmi, dawa hiyo imeadimika katika maduka ya dawa mkoani Dodoma ilikoanza kuuzwa.

Dawa hiyo imegunduliwa na wataalamu wa Kitanzania, licha ya Serikali bado haijatoa tamko rasmi kuhusu kutumika kwa dawa hiyo, tayari imeonekana kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa dawa hiyo nchini.
View attachment 3161538
#azamnewsupdates

✍@official_jennifersumi
Biashara ya Babu wa Loliondo imeanza Tena🫢
 
yale yale ya babu wa kikombe@ kweli watanzania ni maiti!
Siku tano baada ya dawa ya Uriphytol inayoelezwa kukinga na kutibu tatizo la kutanuka kwa tezi dume kuanza kuuzwa rasmi, dawa hiyo imeadimika katika maduka ya dawa mkoani Dodoma ilikoanza kuuzwa.

Dawa hiyo imegunduliwa na wataalamu wa Kitanzania, licha ya Serikali bado haijatoa tamko rasmi kuhusu kutumika kwa dawa hiyo, tayari imeonekana kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa dawa hiyo nchini.

View attachment 3161538
#azamnewsupdates

✍@official_jennifersumi
Yale yale ya Babu wa kikombe cha Loliondo

kweli watanzania tu maiti!


Jomo Kenyatta alishawai kusema:

"Waganda ni Sawa na Wagonjwa wanaweza kupona muda wowote na wakadai vyao"

"Wakenya ni sawa na walio lala usingizi muda wowote wanaweza kuamka na kudai chao"

"ila Watanzania ni sawa na maiti hawawezi kuamka milele kudai chao" :~ Jomo Kenyatta
 
Back
Top Bottom