kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,011
- 650
Tii sheria bila shuruti ndiyo dawa pekee na kuepukana na hao jamaa wa torch, vinginevyo utawenaswa kama kuku wa kisasa.inategemeana na wewe utakavyoiset ipo ambayo itakueleza hata bara bara ikiwa na mashimo mbele inakwambia kabisa mbele 10km huwa kuna road block ya police,Camera na matukio yote ya bara barani...
Hata ingekua hivyo ukweli haubadiliki.We traffic police wewe si bure..
hiyo app nishawah kuitumia ila inaonyesha walipokuwa sio current inaweza kuonyesha ilipokuwa Jana au masaa kadhaa yaliyopitaHabari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili
Mkuu ip hiyo hebu tujuzeNiliwahi kuitumia
Tupe Mkuu hawa wanyonyaji wanatutesa mno Jana tu wamekula 30000Niliwahi kuitumia
Habari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili
Application hiyo ni ile ya kukutafsiria alama za barabara uzielewe kiunagaubaga na sivinginevyo. La sivyo rudi driving school..Habari za muda wapendwa!
Nasikia kuna apps ambazo zinaweza kutumika ku-detect mahali ambapo kuna tochi za wale kunguru weupe wamejificha. Wakati unaendesha gari lako kupitia simu yako, inakupa alert umbali ambapo hao jamaa wapo. Hebu tusaidiane kwa wenye uzoefu na hili