Dawa ya tumbo kwa mama mjamzito ni ipi,

Dawa ya tumbo kwa mama mjamzito ni ipi,

Jean piaget

Senior Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
143
Reaction score
34
Hi jf members, mke wangu ana mimba ya miezi minne (4), mwa lakn tumbo linamsumbua sana chini ya kitovu muda mwingine pembeni mwa tumbo, je ni hali ya kawaida kwa akina mama?
Je ni dawa gani ambayo anaweza tumia na isimletee madhara? Je ni kipndi gani mtoto huanza kujigeuza tumboni?

MziziMkavu na wengine wenye utalaamu nisaidieni hili
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom