mimi.mimi
Senior Member
- Jul 11, 2013
- 134
- 73
Anaumri gani? Mimi alinisumbua sana akiwa na miezi mitatu nili mpa juice ya malimao changanya tangawizi changany na tangawizi ule mchuzi changany na asali , ongeza maji kidogo sana mpe kijiko kidog cha chai. Tokea hapo cjasumbuliwa namichangk ovyo, alikua akizingua nampa, kwenye mawingu wingu nampa mpaka ss anamiezi tisa nilikua nalal kwa aman toka hapo