Mzizi wa mbuyu unaupatia wapi?Mchemshie mzizi wa mbuyu.hii ndo dawa nzuri ambayo sisi huwa tunatumia anzia kwa mababu na ina matokeo mazuri sana
Hajakujibu hadi leo?maziwa mazito sababu ni nini
Mtengenezee samli uwe unamlambisha. Inasaidia sanaTatizo hilo linampata mtoto wangu kwa sasa...na ana wiki mbili tu....tangu azaliwe....nisaidie njia ama dawa ulotumia na ikamponya mtoto wako....
natanguliza shukrani mkuu.
hiyo siagi unaipataje kutoka kwenye maziwa msaada tafadharipolen sana...mama ajitahidi kumcheulisha mtoto kila anaponyonya..kisha awe anamlaza kwa tumbo hasa mchana hii husaidia gesi kuika tumbon na hataumwa tena.
mim nina watoto mapacha wa kike ndugu walivyofikisha miez 3 niliwapa mafuta ya maziwa yaani siagi vijiko vya chai 4 kwa siku 2 hii ilisaidia kusafisha tumbo na kulainisha tumbo pia ambapo mmeng'enyo unakua rahis na hakuna gesi inayokaa sikuwahi kuwapa dawa yeyote wala sikuwah kuona hilo chango.zingatia hili utayaona manufaa.hayo madawa ya hosp yanatibu kwa muda tu lakin ya kutibu milele ndo hiyo.
polen sana...mama ajitahidi kumcheulisha mtoto kila anaponyonya..kisha awe anamlaza kwa tumbo hasa mchana hii husaidia gesi kuika tumbon na hataumwa tena.
mim nina watoto mapacha wa kike ndugu walivyofikisha miez 3 niliwapa mafuta ya maziwa yaani siagi vijiko vya chai 4 kwa siku 2 hii ilisaidia kusafisha tumbo na kulainisha tumbo pia ambapo mmeng'enyo unakua rahis na hakuna gesi inayokaa sikuwahi kuwapa dawa yeyote wala sikuwah kuona hilo chango.zingatia hili utayaona manufaa.hayo madawa ya hosp yanatibu kwa muda tu lakin ya kutibu milele ndo hiyo.
chukua maji ya uvuguvugu weka chumvi na sukari kdg alaf koroga mpe vijiko viwili.hakikisha maji yamechemka sana yawe saf na salama.