Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu GYM meku.Habari za mihangaiko wana jamii, nisaidieni mwenzenu natafuta dawa ya kuwa mnene Niko serious not jok
Inashangaza sana!! watu wanaukataa unene wewe unautafuta, kuutafuta unene ni rahisi lakini ukishakuwa mnene utakereka na umbo lako, hakuna nguo itakayokukaa vizuri, utakuwa huna mvuto kwa wanaume (km wewe ni mwanamke), litumbo hilo...ukivua nguo unatamani ujikimbie mwenyewe. Kwa ushauri tu..kama wewe ni kimbaumbau sana ongezeka uzito kidogo tu ili upendeze, but ukishakuwa mnene rasfiki yangu....utajichukia, na kurudi kwenye wembamba ni kazi sana.
thanks hata mm imenisaidiaUnataka dawa ili uwe mnene?
Kula sana vitu vya sukari, mfano Chokleti..
Kula sana vyakula jamii ya Fat, mfano kitimotoz
Punguza stress, ishi kwa furaha..
n.k