Dawa ya UPELE ni ipi jamani?

Chukua kitunguu thaumu ukitwange mpaka kiwe laini kisha uchukuwe maji ya moto uoshe sehemu zenye vipele ufanye kama unasugua . kwa uwezo wa Allah utapona.
 
Chukua kitunguu thaumu ukitwange mpaka kiwe laini kisha uchukuwe maji ya moto uoshe sehemu zenye vipele ufanye kama unasugua . kwa uwezo wa Allah utapona.

asante ndugu.tatizo ni karibia mwili mzima una vipele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…