Dawa ya Vidonda vya tumbo kwa ambaye amepona au anayeifahamu

Dawa ya Vidonda vya tumbo kwa ambaye amepona au anayeifahamu

Bahingaye

Member
Joined
Nov 5, 2017
Posts
58
Reaction score
106
Nitangulize salam kwanza kwa ndugu wote wana jamii forum, kama kichwa cha Habari hapo juu kinavoeleza, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo huu mwaka wa 6 naomba kwa yoyote anayefaham dawa au ameshatumia dawa amepona anifahamishe na mimi niondokane na hiii karaha, , nipo mwanza, natanguliza shukran kwa yeyote atakayenijuza
 
Nitangulize salam kwanza kwa ndugu wote wana jamii forum, kama kichwa cha Habari hapo juu kinavoeleza, ninasumbuliwa na vidonda vya tumbo huu mwaka wa 6 naomba kwa yoyote anayefaham dawa au ameshatumia dawa amepona anifahamishe na mimi niondokane na hiii karaha, , nipo mwanza, natanguliza shukran kwa yeyote atakayenijuza
MKuu Habari yako?Mimi ninayo dawa ya kuponyesha maradhi ya vidonda vya tumbo nitafute kwa wakati wako ili nipate kukutibia upate kupona maradhi yako.
 
TUNAOMBA watu wote walioponywa vidonda vya tumbo na mzizi mkavu muwe nnatoa ushuhuda hapa.

Hii Ina faida sana Kwa Afya za wagonjwa wengine.

Kama umewahi kupona ushuhuda tafadhari
 
Dawa zipo amini hivi mi shuhuda japo watu wengi hawana imani kwa maelezo zaidi piga 0764820952
 
Chukua unga wa mtama changanya na asali mbichi kisha lamba kutwa mara 3

Usisahau kuleta mrejesho
 
Back
Top Bottom