Dawa ya vidonda vya tumbo kwa vinavyoanza na wanaosumbuliwa muda mrefu

Dawa ya vidonda vya tumbo kwa vinavyoanza na wanaosumbuliwa muda mrefu

proton pump

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
6,814
Reaction score
10,104
Habari ya majukumu! Nisiwe mchoyo wa fadhila Kwani Mungu ametupa Bure, kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo, na una uhakika ndio vyenyewe kweli, kwa maana si kila ugonjwa tumbo ni vidonda vya tumbo, Kuna minyoo, amoeba na typhoid pia ni hatari. Hasa Amoeba dalili zake ni sawa na vidonda vya tumbo, kama unasumbuliwa na amoeba tumia TINIDAZOLE zipo pharmacy. Pia wadudu wa amoeba na typhoid ni hatari Sana hushambulia hadi ubongo kitu kinachosababisha kuchanganyikiwa, kwa dalili tafadhali njoo inbox apo au hadi nianzishe Uzi mwingine.

Hakikisha umepima hayo magonjwa matatu hapo juu kabla ya kuanza kutumia dawa hii ya vidonda vya tumbo usije ukawa na ugonjwa mwingine.

Chukua kiazi ulaya au mbatata au kiazi cha chipsi, kioshe vizuri kwa maji ya moto, usimenye maganda yake Bali kisage kwa ajili ya kutoa juisi kwa kutumia juicer au Greta Ile ya kukwangua karoti hasa Ile sehemu inasaga hadi kinakua kama uji uji kwa ajili ya kutengeneza juisi weka kwenye kikombe, Kisha tia maji vijiko vitano vya chai, kwa nn vijiko vitano? fanya juisi iwe nzito, kunywa juice Yako kama unaweza kiunywa bila kuchuja ni vizuri zaidi, hizo nyuzi nyuzi zinalainisha choo pia,

Dozi kunywa asubuhi kabla hujala chochote, mchana baada ya kula na usiku wakati wa kulala, kunywa kwa mwezi mmoja, dawa hii Haina masharti wa kemikali, na Haina madhara kiafya.

Usisite kunitumia message kwa maendeleo zaidi. Asante.
 
Habari ya majukumu! Nisiwe mchoyo wa fadhila Kwani Mungu ametupa Bure, kama unasumbuliwa na vidonda vya tumbo, na una uhakika ndio vyenyewe kweli, kwa maana si kila ugonjwa tumbo ni vidonda vya tumbo, Kuna minyoo, amoeba na typhoid pia ni hatari. Hasa Amoeba dalili zake ni sawa na vidonda vya tumbo, kama unasumbuliwa na amoeba tumia TINIDAZOLE zipo pharmacy. Pia wadudu wa amoeba na typhoid ni hatari Sana hushambulia hadi ubongo kitu kinachosababisha kuchanganyikiwa, kwa dalili tafadhali njoo inbox apo au hadi nianzishe Uzi mwingine.

Hakikisha umepima hayo magonjwa matatu hapo juu kabla ya kuanza kutumia dawa hii ya vidonda vya tumbo usije ukawa na ugonjwa mwingine.

Chukua kiazi ulaya au mbatata au kiazi cha chipsi, kioshe vizuri kwa maji ya moto, usimenye maganda yake Bali kisage kwa ajili ya kutoa juisi kwa kutumia juicer au Greta Ile ya kukwangua karoti hasa Ile sehemu inasaga hadi kinakua kama uji uji kwa ajili ya kutengeneza juisi weka kwenye kikombe, Kisha tia maji vijiko vitano vya chai, kwa nn vijiko vitano? fanya juisi iwe nzito, kunywa juice Yako kama unaweza kiunywa bila kuchuja ni vizuri zaidi, hizo nyuzi nyuzi zinalainisha choo pia,

Dozi kunywa asubuhi kabla hujala chochote, mchana baada ya kula na usiku wakati wa kulala, kunywa kwa mwezi mmoja, dawa hii Haina masharti wa kemikali, na Haina madhara kiafya.

Usisite kunitumia message kwa maendeleo zaidi. Asante.
Asante sana. Kuna post moja mchangiaji alisema unaweka na bicarbonate of soda kijiko kidogo kimoja kwenye hiyo juice.
 
Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
 
Amoeba ikikaa mda bila kutibiwa inaharibu uti wa mgongo hadi ubongo, tafadhali kama unasumbuliwa na huo ugonjwa tumia vidonge aina ya tinidazole
Je, Amiba inasababisha maumivu ya kiuno kwa muda mrefu?
 
Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
aise yaweza kuwa kwel mm kuna dem wangu kaniletea dawa kutoka mosh kwa bibi wa huko kwao aiseee jmn Mungu mkubwa
 
Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Wengi siku hizi wanaumwa huo ugonjwa. Niulize swali la kwanza ni majaribio au tayari ilishafanya kazi?. Unisamehe nimeuliza hivyo ksbb umesisitiza wakutumie sms kwa maendeleo.
Pili umesema kiazi mbatata au kiazi cha chips hivi viazi vinatofautiana materio,kingine kiazi mbatata/ulaya ni kitamu,na hicho cha chips sio kitamu,swali ni je vyote vinaweza kufanya kazi sawa kwenye hiyo tiba?.
Tatu viazi vitamu/ulaya kiumbile ni vikubwa kuliko viazi chips,je kwa utofauti wa ukubwa huo vijiko ni hivyo hivyo vitano vya maji?.
Nne wakati wa kusaga hicho kiazi ili brender itembee kuna umuhimu wa kuweka maji kidogo?.
 
Back
Top Bottom