Kihoronge
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 544
- 704
Nitashukuru sana mkuu.ntamuomba no mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitashukuru sana mkuu.ntamuomba no mkuu
Mkuu nahitaji boss. Njoo inboxKwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
𝑁𝑎𝑚𝑎𝑎𝑛𝑖𝑠ℎ𝑎 𝐼𝑟𝑖𝑠ℎ 𝑝𝑜𝑡𝑎𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑎𝑛𝑖 𝑘𝑖𝑎𝑧𝑖 𝑐ℎ𝑎 𝑐ℎ𝑖𝑝𝑠𝑖 𝒏𝒂 𝒔𝒊𝒐 𝒌𝒊𝒂𝒛𝒊 𝒌𝒊𝒕𝒂𝒎𝒖, 𝒑𝒊𝒂 𝒏𝒊 𝒎𝒖𝒉𝒊𝒎𝒖 𝒌𝒖𝒘𝒆𝒌𝒂 𝒎𝒂𝒋𝒊 𝒊𝒍𝒊 𝒖𝒘𝒆𝒛𝒆 𝒌𝒖𝒎𝒆𝒛𝒂 𝒎𝒄𝒉𝒂𝒏𝒈𝒂𝒏𝒚𝒊𝒌𝒐 𝒉𝒖𝒐. 𝑴𝑰𝑴𝑰 𝑵𝑫𝑰𝒀𝑶 𝑵𝑰𝑳𝑰𝒀𝑶𝑻𝑼𝑴𝑰𝑨 𝑵𝑰𝑲𝑨𝑷𝑶𝑵𝑨 𝑲𝑨𝑩𝑰𝑺𝑨. 𝑺𝒂𝒃𝒂𝒃𝒖 𝒚𝒂 𝒌𝒖𝒑𝒐𝒏𝒆𝒔𝒉𝒂 𝒏𝒊 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒊𝒇𝒖𝒂𝒕𝒂𝒗𝒚𝒐, 𝙝𝙪𝙥𝙪𝙣𝙜𝙪𝙯𝙖 𝙖𝙨𝙞𝙙𝙞 𝙠𝙬𝙖 𝙝𝙖𝙧𝙖𝙠𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙪𝙧𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙨𝙚𝙝𝙚𝙢𝙪 𝙮𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙠𝙞𝙙𝙤𝙣𝙙𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙯𝙞𝙗𝙖.Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Wengi siku hizi wanaumwa huo ugonjwa. Niulize swali la kwanza ni majaribio au tayari ilishafanya kazi?. Unisamehe nimeuliza hivyo ksbb umesisitiza wakutumie sms kwa maendeleo.
Pili umesema kiazi mbatata au kiazi cha chips hivi viazi vinatofautiana materio,kingine kiazi mbatata/ulaya ni kitamu,na hicho cha chips sio kitamu,swali ni je vyote vinaweza kufanya kazi sawa kwenye hiyo tiba?.
Tatu viazi vitamu/ulaya kiumbile ni vikubwa kuliko viazi chips,je kwa utofauti wa ukubwa huo vijiko ni hivyo hivyo vitano vya maji?.
Nne wakati wa kusaga hicho kiazi ili brender itembee kuna umuhimu wa kuweka maji kidogo?.
Namba ya simu!?Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
Zipo dawa mkuu week Moja tu unakula kila kitu hata pumu nayo uchagani unapona vizuri tu na ukitaka kujuridhiasha chunguza mangi wengi hawasumbuliwi na hii kituaise yaweza kuwa kwel mm kuna dem wangu kaniletea dawa kutoka mosh kwa bibi wa huko kwao aiseee jmn Mungu mkubwa
Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Wengi siku hizi wanaumwa huo ugonjwa. Niulize swali la kwanza ni majaribio au tayari ilishafanya kazi?. Unisamehe nimeuliza hivyo ksbb umesisitiza wakutumie sms kwa maendeleo.
Pili umesema kiazi mbatata au kiazi cha chips hivi viazi vinatofautiana materio,kingine kiazi mbatata/ulaya ni kitamu,na hicho cha chips sio kitamu,swali ni je vyote vinaweza kufanya kazi sawa kwenye hiyo tiba?.
Tatu viazi vitamu/ulaya kiumbile ni vikubwa kuliko viazi chips,je kwa utofauti wa ukubwa huo vijiko ni hivyo hivyo vitano vya maji?.
Nne wakati wa kusaga hicho kiazi ili brender itembee kuna umuhimu wa kuweka maji kidogo?.
Ngoja niweke kambi apa make huu ugonjwa unanitesa sana
Kabisa. Maana yake zote ni dry tuHuu ugonjwa inaonekana umewaathiri watu wengi sana.
Tiba ni nyingi zinazosemwa lakini mirejesho ama shuhuda ni hakuna.
-Kaveli-
Bado mkuuMkuu ulifanikiwa?
-Kaveli-