Nitashukuru sana mkuu.ntamuomba no mkuu
Mkuu nahitaji boss. Njoo inboxKwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
๐๐๐๐๐๐๐๐ โ๐ ๐ผ๐๐๐ โ ๐๐๐ก๐๐ก๐ ๐ฆ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ง๐ ๐โ๐ ๐โ๐๐๐ ๐ ๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐, ๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐. ๐ด๐ฐ๐ด๐ฐ ๐ต๐ซ๐ฐ๐๐ถ ๐ต๐ฐ๐ณ๐ฐ๐๐ถ๐ป๐ผ๐ด๐ฐ๐จ ๐ต๐ฐ๐ฒ๐จ๐ท๐ถ๐ต๐จ ๐ฒ๐จ๐ฉ๐ฐ๐บ๐จ. ๐บ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐, ๐๐ช๐ฅ๐ช๐ฃ๐๐ช๐ฏ๐ ๐๐จ๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐๐๐ง๐๐ ๐ ๐ฃ๐ ๐ ๐ช๐ง๐ช๐๐ช๐จ๐ช ๐จ๐๐๐๐ข๐ช ๐ฎ๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ ๐๐๐ค๐ฃ๐๐ ๐ ๐ช๐๐๐ฏ๐๐๐.Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Wengi siku hizi wanaumwa huo ugonjwa. Niulize swali la kwanza ni majaribio au tayari ilishafanya kazi?. Unisamehe nimeuliza hivyo ksbb umesisitiza wakutumie sms kwa maendeleo.
Pili umesema kiazi mbatata au kiazi cha chips hivi viazi vinatofautiana materio,kingine kiazi mbatata/ulaya ni kitamu,na hicho cha chips sio kitamu,swali ni je vyote vinaweza kufanya kazi sawa kwenye hiyo tiba?.
Tatu viazi vitamu/ulaya kiumbile ni vikubwa kuliko viazi chips,je kwa utofauti wa ukubwa huo vijiko ni hivyo hivyo vitano vya maji?.
Nne wakati wa kusaga hicho kiazi ili brender itembee kuna umuhimu wa kuweka maji kidogo?.
Namba ya simu!?Kwa mtu mwenye vidonda vya tumbo kama hujapona Kwa msaada wa mdau alianzisha Uzi Yuko bibi Moshi vijiji anatibu Niko tayari kutoa contact zake ila soda kidogo muhimu week moja unakula maharage ukimaliza dozi sod utapa yeye mwenyew ukitaka kwenda akutumiwa ni wewe tu
Zipo dawa mkuu week Moja tu unakula kila kitu hata pumu nayo uchagani unapona vizuri tu na ukitaka kujuridhiasha chunguza mangi wengi hawasumbuliwi na hii kituaise yaweza kuwa kwel mm kuna dem wangu kaniletea dawa kutoka mosh kwa bibi wa huko kwao aiseee jmn Mungu mkubwa
Nashukuru sana kwa ufafanuzi huo. Wengi siku hizi wanaumwa huo ugonjwa. Niulize swali la kwanza ni majaribio au tayari ilishafanya kazi?. Unisamehe nimeuliza hivyo ksbb umesisitiza wakutumie sms kwa maendeleo.
Pili umesema kiazi mbatata au kiazi cha chips hivi viazi vinatofautiana materio,kingine kiazi mbatata/ulaya ni kitamu,na hicho cha chips sio kitamu,swali ni je vyote vinaweza kufanya kazi sawa kwenye hiyo tiba?.
Tatu viazi vitamu/ulaya kiumbile ni vikubwa kuliko viazi chips,je kwa utofauti wa ukubwa huo vijiko ni hivyo hivyo vitano vya maji?.
Nne wakati wa kusaga hicho kiazi ili brender itembee kuna umuhimu wa kuweka maji kidogo?.
Ngoja niweke kambi apa make huu ugonjwa unanitesa sana
Kabisa. Maana yake zote ni dry tuHuu ugonjwa inaonekana umewaathiri watu wengi sana.
Tiba ni nyingi zinazosemwa lakini mirejesho ama shuhuda ni hakuna.
-Kaveli-
Bado mkuuMkuu ulifanikiwa?
-Kaveli-