Dawa ya vumbi la Kongo ni hatari kwa afya?

Kitu cha Congo kina madhara. Nilimsikia daktari mmoja anasema unapotumia ile kitu mishipa ya dushee inakuwa forced kutanuka ili damu ipite kwa wingi na kwa speed. Matokeo yake ukizoea sana kuna siku utakosa hisia kabisa na mashine haitakuwa ikisimama tena. Japo haijulikani hilo baa litakufika lini, ni bora kuepuka na kutafuta njia salama na natural za kulast long enough.

Hiyo raha unayopata sasa na kuonekana kidume (kukomaa 3 hrs) huko mbeleni mashine itakuja kuwa rojo kama mrenda na utaishia kuwa unawashikashika watoto wazuri huku ukilalama "enzi zangu buana, nilikuwa nomaaa"
 
Wanaume wa Dar kazi mnayo
Kiepe yai hiko na wakiambiwa wale ugali dona wanakataa wanasema unafanana na vumbi huku vumbi lenyewe wakilipaka kwenye viungo vyao....nasikia hayo madude yana madhara makubwa na ya muda mrefu mtu ukiyafahamu hutothubutu kuyasogelea.

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hapa bora ungesema dk wa Shinyanga maana hapo Tanga kuna mwenzako kalichafua jamvi hapa kwa utapeli wa ajabu sidhani kama wateja utawapata...

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Vumbi la kongo ndio habari ya Mjini

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mungu epushia mbali,mnajiua bila kujua.baadae mtakuwa watazamaji tu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hyo kitu ni hatari sana. Inaweza ikakuua mkuu. Acha kabisa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Teh wadada sijui tunaruhusiwa kutumia
Cc: Chief Economist
Inashauriwa wadada mtumie vyakula vya asili na kufanya mazoezi kwa ajili ya kuhimili na kui-enjoy mechi kali kali bila kuchoka...
Si unajua tena Mrembo wangu ukifika-mawenzi na ukiwa legelege unaweza kukata network.
 
Vumbi shilingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…