Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Kitu cha Congo kina madhara. Nilimsikia daktari mmoja anasema unapotumia ile kitu mishipa ya dushee inakuwa forced kutanuka ili damu ipite kwa wingi na kwa speed. Matokeo yake ukizoea sana kuna siku utakosa hisia kabisa na mashine haitakuwa ikisimama tena. Japo haijulikani hilo baa litakufika lini, ni bora kuepuka na kutafuta njia salama na natural za kulast long enough.
Hiyo raha unayopata sasa na kuonekana kidume (kukomaa 3 hrs) huko mbeleni mashine itakuja kuwa rojo kama mrenda na utaishia kuwa unawashikashika watoto wazuri huku ukilalama "enzi zangu buana, nilikuwa nomaaa"
Hiyo raha unayopata sasa na kuonekana kidume (kukomaa 3 hrs) huko mbeleni mashine itakuja kuwa rojo kama mrenda na utaishia kuwa unawashikashika watoto wazuri huku ukilalama "enzi zangu buana, nilikuwa nomaaa"