Dawa ya vumbi la Kongo ni hatari kwa afya?

Kwa mwenye kutaka ipo na wale kina dada ambao waume zao wanamatatizo in box pls
Kamatia fursa mkuu. Vilaza wengi sana nchi hii.
Asikudanganye mtu dawa ya kuwa fiti kitandani ni mlo makini,maji ya kutosha na mazoezi kwa sana.
 
Muda huo Kongo vumbi litakuwa limeisha?
 
Hili vumbi Wala halitoki Kongo.
Hili vumbi linatoka Morogoro.Pale Njia panda ya Mzumbe mbele kidogo kama unaenda Melela,kuna sehemu wanachoma nyama na Malori Huwa yanapaki hapo.Hapo utakuta wamefunga kwenye vifuko.Bei inarange buku mbili,tatu mpaka tano
 
Utapigaje bao kumi na tatu Kwa usiku mmoja wakati bao moja mwakesha masaa?
 
Iyo kitu mm naiita mbwana samata atari sana Iyo naitumia kwa michepuko tu sio kwa mama yenu ndani
mkuu kama mama yetu hutumii ujue nao vijana wanatumia kwake,mchepuko wako mke wa mwezako,mchepuko wa mwezako mkeo.........
 
Mambo vp mkubwa VUMBI
La Kongo nitalipataje mkuu
 
Marketing strategies,fasta PM imejaa!!!! ama kweli wanaume tuna shida.Wanawake mjiandae kisaikolojia si mmesikia masaa 3 hajap.........,mchubuko hapo ni 100%
 
mkuu kama mama yetu hutumii ujue nao vijana wanatumia kwake,mchepuko wako mke wa mwezako,mchepuko wa mwezako mkeo.........
Tena huyo mama yetu huenda na yeye anapita huku lazima alitafute hilo vumbi ili afaidi
 
Inaonekana watu wengi wanachangia ila hawalijui vumbi la Congo.
Vumbi hili lina majina mengi sana nayo ni Kasongo, Mundende, Butululu nk.
Vumbi hili si vumbi kama vumbi la stoo, barabarani nk. Hili ni vumbi linalotokana na mmea au mti ( yaweza kuwa mzizi au gome). Basi mti huo husagwa na kuwa unga yaani vumbi.
Matumizi yake ya asili ilikuwa ni kupaka kwenye uume wa mtu ambae anataka kutahiriwa ili kumpa ganzi asipate maumivu wakati anatahiriwa. Hii ni ganzi ya kienyeji iliyokuwa inatumiwa na Wakongo.
Ila kwa sasa matumizi yamehamishiwa kwenye sekta ya ngono. Hii ina maana kwamba dawa hii haiongezi nguvu za kiume. Ila inafanya uume kupata ganzi so wakati unatembeza mkunyenge ule utamu unaofanya umwage wazungu unazuiwa na ile ganzi.
So unaweza kumgegeda mlimbwende kwa muda mrefu bila kumwaga na kwa mwanaume usipomwaga mpini unaendelea kuwa imara kama simba.
So wanajamvi kwa kifupi hiyo ndo vumbi na matumizi yake ni kama ifuatavyo, unaweka matone 2 ya maji au mate au mafuta kidogo kwenye kiganja then unachanganya na vumbi kidogo then upaka kwenye uume kwa kuchua au kusugua. Unaweza kupaka asubuhi then ukaufunga uume kwa nylon una acha tundu la kukojolea, utakaa umefunga mpaka jiono au usiku. Ukifika muda wa kugegeda unafungua na kusafisha then unagegeda kiroho safi kabisa.
Nadhani nimeeleweka kwaherini.
 
Hata mimi ninayo vumbi balaaaaa....lazima shetani ataje jina
 
wanaotaka hilo Vumbi natoa bureee,, ila uwe mkoa ambao mie nipo,,

nakupa kipimo cha robo kisoda,,,

sharti uwe umeoa,, kwa bachela mtanisamehe
 
Mkuu nitaipata wapi hiyo kitu..nipo dsm..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…