Shinoyankela
Member
- Mar 24, 2014
- 25
- 4
Unajua mmea wa ALOVERA???? Kata kama majani yake mawili au matatu - saga kwenye blennder - halafu osha nywele zako ziwe safi - paka maji maji ya alovera ulioysaga - vaa cap yako na funga towel juu yake. - Stay for half an hour - Halafu osha vizuri. Paka mafuta unayotumia kwenye ngozi na suka - rudia tena kila mara unapofumua nywele zako.Jaman kwa yyt anayejua dawa za kisuna zinazorefusha nyele anitajie au anielekeze dawa yyte ya kienyej inayorefusha nywele
Unajua mmea wa ALOVERA???? Kata kama majani yake mawili au matatu - saga kwenye blennder - halafu osha nywele zako ziwe safi - paka maji maji ya alovera ulioysaga - vaa cap yako na funga towel juu yake. - Stay for half an hour - Halafu osha vizuri. Paka mafuta unayotumia kwenye ngozi na suka - rudia tena kila mara unapofumua nywele zako.
Ukifanya hivyo frequently - nywele zako zitakuwa, zitakuwa strong