Amani iwe nanyi...
Nimetamani kuuliza jambo hili kwa muda kidogo, ni kuhusu hizi dawa ambazo wansema zinasaidia katika masuala mazima ya uzazi ikiwemo kutibu magonjwa kama vile PID, FUNGUS,. UTI na mengine kemkem!
Ninachoomba kujua kuna mtu amewahi kutumia na zikamsaidia?!
Asante.
Nimetamani kuuliza jambo hili kwa muda kidogo, ni kuhusu hizi dawa ambazo wansema zinasaidia katika masuala mazima ya uzazi ikiwemo kutibu magonjwa kama vile PID, FUNGUS,. UTI na mengine kemkem!
Ninachoomba kujua kuna mtu amewahi kutumia na zikamsaidia?!
Asante.