deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 944
Nipo kwenye daladala nasikiliza kuhusu madawa ya kuongeza makalio na matiti.Wadada wanasema sababu ya kutumia hizo dawa ni wanaume wanapenda hayo maumbile makubwa,imefikia hatua sasa nguo za ndani nazo zinawekwa masiponchi ili kuonekana na figer la maana!!kazi kwetu wanaume ndo maana nashangaa darlisalam kila mwanamke unayemuona kajaliwa lishepu mbona mkoa sio kihivyoooo!