Dawa za kulevya KG 187 zakamatwa mkoani Arusha

Dawa za kulevya KG 187 zakamatwa mkoani Arusha

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
1646215829883.png

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikiria Ndg. Elia Mwambo (45) Mkazi Mkazi wa Ngaramtoni Arusha kwa tuhuma za kusafirisha Dawa za kulevya yanayodhaniwa kuwa ni Mirungi yenye uzito wa 187 kg.

Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Arusha ACP. Justine Masejo amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa anasafirisha madawa hayo maeneo ya Ngaramton kwa kutumia gari lenye namba za usajili T.793 CYU aina ya Carina.

Kamanda Madeni amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo amekuwa akijihusisha na biashara hiyo haramu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali jijini Arusha.

Aidha mara baada ya upelelezi kukamilika jalada litapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa ajili ya kulitolea maamuzi kisheria.
 
Inaonekana safari hii aliamua kuwa mkono wa birika 'jamaa' wakaamua wamlipue.
 
Wauza madawa wamefufuka tena?!

Chonde chonde kitengo chetu cha kupambana na madawa ya kulevya msille.

Wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya wameanza kuipima awamu ya 6. Tusikubali kupiwa wala kuchezewa.
 
Wauza madawa wamefufuka tena?!
Chonde chonde kitengo chetu cha kupambana na madawa ya kulevya msille.

wauzaji na watumiaji wa madawa ya kulevya wameanza kuipima awamu ya 6.
tusikubali kupiwa wala kuchezewa.
Mirungi ipo siku zote.
 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikiria Ndg. Elia Mwambo (45) Mkazi Mkazi wa Ngaramtoni Arusha kwa tuhuma za kusafirisha Dawa za kulevya yanayodhaniwa kuwa ni Mirungi yenye uzito wa 187 kg.

Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Arusha ACP. Justine Masejo amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa anasafirisha madawa hayo maeneo ya Ngaramton kwa kutumia gari lenye namba za usajili T.793 CYU aina ya Carina.

Kamanda Madeni amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo amekuwa akijihusisha na biashara hiyo haramu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali jijini Arusha.

Aidha mara baada ya upelelezi kukamilika jalada litapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa ajili ya kulitolea maamuzi kisheria.
Miaka inayokuja hiki vitukuu vyetu vitakuwa vinatuona ni wajinga, maana kipindi hicho zitakuwa zinatumika kama dawa
 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikiria Ndg. Elia Mwambo (45) Mkazi Mkazi wa Ngaramtoni Arusha kwa tuhuma za kusafirisha Dawa za kulevya yanayodhaniwa kuwa ni Mirungi yenye uzito wa 187 kg.

Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Arusha ACP. Justine Masejo amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa anasafirisha madawa hayo maeneo ya Ngaramton kwa kutumia gari lenye namba za usajili T.793 CYU aina ya Carina.

Kamanda Madeni amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo amekuwa akijihusisha na biashara hiyo haramu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali jijini Arusha.

Aidha mara baada ya upelelezi kukamilika jalada litapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa ajili ya kulitolea maamuzi kisheria.
Hivi kosa ni 'kusafirisha' tu? Kama angekaa na mzigo wake na kuhudumia wateja hapo hapo nyumbani kwake ingekuwa poa?
 
saali dogo

hivi mirungi huwa inawwzesha biashara kwenda kasi ee? maana wafanya biashara unakuta alianza simple tu ghafla ukienda dukani unakuta bonge la foleni za watu afu yeye yupo bize anatafuna kitu km jojo a.k.a mirungi.
 

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikiria Ndg. Elia Mwambo (45) Mkazi Mkazi wa Ngaramtoni Arusha kwa tuhuma za kusafirisha Dawa za kulevya yanayodhaniwa kuwa ni Mirungi yenye uzito wa 187 kg.

Akitoa taarifa hiyo kamanda wa Jeshi la polisi Mkoani Arusha ACP. Justine Masejo amesema mtuhumiwa huyo alikamatwa akiwa anasafirisha madawa hayo maeneo ya Ngaramton kwa kutumia gari lenye namba za usajili T.793 CYU aina ya Carina.

Kamanda Madeni amesema uchunguzi wa awali umebaini kuwa mtuhumiwa huyo amekuwa akijihusisha na biashara hiyo haramu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya katika maeneo mbalimbali jijini Arusha.

Aidha mara baada ya upelelezi kukamilika jalada litapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa ajili ya kulitolea maamuzi kisheria.
Mtuhumiwa atamalizana na office ya Taifa ya Mashitaka na kutakuwa hakuna kesi hapo, na hakuna wa kuuliza hapo,hata huyo mkamataji police hawezi kuuliza tena, na Mtu yoyote yule akiuliza office ya Taifa ya Mashitaka itamwambia Jalada bado linafanyiwa kazi!! Hiyo ndiyo imetokaa!!
 
Bado sioni kama mirungi ni dawa za kulevya hiyo ni mimea tu waache watu wauze watamfunga miaka 30 bure serikali ihalalishe mirungi chief hangaya hataki ushuru nini?!
 
Back
Top Bottom