Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Simon sirro Nyakoro alikosa Sapoti kutoka juu sasa watacheza Acapella(mziki bila vyombo)
Hawamjui huyoo jamaa waje mwanza tuwape story ya sirro is very Smart na maamuzi na kazi yake namkubali sana mwanza ilinyooka sema wakuu ndio wanamzingua
 
Like nyingi sana.
 
Hivi Wema alikuwa mtoto wa kiongozi gani vile mkuu.
 
hahaaahahaaa hii muvi inazidi kunogaaa.....naomba na wanachama wa CHAPUTA wakamatwe........natania
 
Kwa lugha nyepesi wema amekubali kuwa ni mkosaji ndio maana anawataja na wenzie
 
Kwa lugha nyepesi wema amekubali kuwa ni mkosaji ndio maana anawataja na wenzie

Acha Ujinga Kijana, Hekima Si Kipaji Ni Kuruhusu Ubongo Kufikiri Kwa Mapana Zaidi
 
Tukitaka kumaliza makando kando nchi hii, Magufuli akubali lets reverse katiba mpya, tukubali mapendekezo ya tume ya warioba. Tutengeneze system ambayo badala ya watawala kutugeuza kama chapati, katiba iwe inamuongoza mtawala afanye nini na asifanye nini. Zaidi ya hapo tunaendelea na uonevu na ukandamizaji wa wale ambao tunawaona ni maadui zetu kwa chuki zetu binafsi. Hivi jiulize, kama ni kweli MAsogange anatoka na Makonda, na amempangishia nyumba Makongo. Na Masogange ni mhusika wa madawa ya kulevya, ni kwa vipi Makonda ataweza kukwepa double standards? Angalizo: Simtetei Wema kwa vyovyote vile. Kiongozi wa umma lazima uwe na dhamiri safi, usiwe na tuhuma. Kama tunamtetea Makonda kwa sababu hoja ya Wema dhidi ya Makonda haina ushahidi, je, ya Makonda dhidi ya Wema ina ushahidi? Lets wait and see
 
Anasema kile Watanzania wanataka kusikia. Angalia hii thread inavyokimbia!
Ninakubaliana na wewe inabidi afanye vitu vitakavyo msahidia kwenye kesi yake zaidi ya kutafuta wafuasi wa kwenye mitandao!
 
All i know is Masogange alichukua uraia wa S.Africa na akaolewa bondeni...je amerudi lini TZ?
 
Basi ushaidi tiyari umekamilika kama wema mwenyew anazbitsha kwamba masogange ajatajwa maana yake wema anausika na madawa na anawajua wenzake!! Birds of the same feathers do fly together
Birds of a feather flock together
 
Huyu binti alikua anatafutwa tuu aingiee kwenye kumi na nane wamtengue kiuno' kile kitendo cha kufanya vile VIGOMA kuambatana na vijana wa mjini (mashoga) watu walikua wanamtaftia tuu kumi na nane maaana alikua anaonekana yeye ndio sponser wa zile show na sponser wa mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…