Kwa hiyo kama ni usalama, kukiwa na a fair judgement process wao usalama wanakuwa above the law? Ungeelewa logic nyuma ya maelezo yangu, ungejua kwama proving beyond reasonable doubt doesn't matter who was recording.waliomrecd ni usalama kaka ila afunguke zaidi ndio maana wanamjaza ujinga hàpo
Nielemishe sasa ili nikijue...taja any precedenceKitu usichokijua si maana hakipo
Mtafute mange kimabiTurushie hiyo clip ili tuamini unachokisema
Ule mzigo si mchezo,wanaume wa dar kwa misambwende awajambo wanafaidi,ngoja sie tubaki na mamiss Bantu Kuku wa kienyeji wetu.Jamani jamani watu wanafaidi
Well said mkuu. Mfa maji haachi kutaptapa. Huwezi kamatwa kwa wizi ukasema mbona Fulani anaiba hakamatwi halafu ukashinda kesi ukaachiwa.What strategy do you think he can use to overcome the situation....? Hapa Hakuna cha kik kama mlivyo karirishwa. Makonda go.....!!!!
Imethibitika kuwa amekutwa na misokoto mingi ya bangi [nayo ni aina ya madawa ya kulevya]Sikuhizi Uhuru wa kusema chochote imekuwa issue. Wema hajafanya makosa kutumia uhuru wa kuongea jinsi anavyo mfikiria Makonda. Makonda ni binaadam na ana mapungufu kama wengine. Kama kusema anatembea au kumpangia nyumba mwanamke fulani ni kosa. Basi, Tanzania tunaelekea kubaya zaidi katika freedom of speech.
Na hasa, je kuna ushaidi wa kutosha kuwa Wema Sepetu anajiusisha na unga? Au ndiyo mkuu akisema ndiyo ushaidi tayari wasiyo na hatia kutiwa ndani! Je Wema amekutwa na madawa au uonevu tu? Wacha hayo wakina Makonda! Serikali haiendeshwi kwa ubabe, lazima mfwate Sheria na haki, siyo kukulupuka tu.
Asante Mkuu Wameelewa nadhani[emoji106]Binamu mambo ya sheria ni magumu sana unadhani makonda alikurupuka? Na mateja zaidi ya 100 na wale wauzaji wanawataja hao kua ndio huwaletea unga, kumbuka makonda ana RCO, Ana RSO na kamati ya ulinzi na usalama iko chini yake .
Insta hio inamponza kwa UshabikiMchanganuo wa video clip hii kwa nionavyo:-
1. Wema hajakanusha kwamba hahusiki na madawa yakulevya -moja kwa moja yuko guilty!.
2. Anategemea favor, influence ya mfumo kumweka huru. .
3. Anasema wazungu wameachiwa mbona wao ndio wamebaki, kwa hiyo anataka aachwe huru waendelee kama watakavyo.
4. Anataja na mateja wengine "Agness".
5. Nimegundua shule ni ufunguo wa maisha.
a) mtu gani mweye elimu yake japo kidogo angesema "tumesikia anataka uwaziri....". Huu si ujuhan sana? Kutaka uwaziri kwa mtu na kushindwa kujitetea kwa mtuhumiwa kuna husiana nini? Kwa hiyo aachwe tu aendelee kuua watu kwa sababu hakuna kiongozi anayeonyesha kujali? Uwaziri wa Makonda utakuja kwa kazi zake, lakini hakuna uzalendo wa mtu utathibitiska kwa kuwaogopa waharifu kwa sababu wana macho ya kutisha.
b). Sijawahi kufikiria mtu katila level hii, anaweza kuwa na akili za kitoto kwamba fulani mbona kaachwa? Akidhani kwamba kwa kuwa mwingine hajakamatwa kwa kuwa ni "mwanamke wa rc na kamjengea nyumba sijui kampangishia nyumba makongo", kutapelekea kumwondolea hatia ya mashitaka.
Nani washauri wa Wema? Mbona mnawamcha anaangamia huku mkiona? Mpeni maarifa na hekima basi japo kidogo. Au na wshauri wake ni wa kiwango cha ngono, kujionyesha na kugombana tu?
Pole kwa Watanzania wote!
Wema kachetuka Alafu inawezekana anatumia nguvu Sana kuliko akili ndo maanaMmh naona mambo yanazidi kuwa mazito baada ya audio clip ya wema kuvuja akimkashifu mh paul makonda alipokua kituoni,jambo lililonisikitisha ni kumuita muheshimiwa m*t*k* kweli is it fair? yule ni kiongozi tumbukeni jamani naona tunamchezea kama mpira, wema anajiingiza kwenye matatizo mazito sana na serikali, akumbuke kuwa hagombani na makonda anagombana na serikali ya CCM awamu ya tano,sasa sijui kama vita yake ataiweza.
Haya turudi kwenye ubuyu,kumbe makoo anatoka na msambwinungwa? duh na kapangiwa nyumba makongo,mmmh haya mapya aiseeh duh hii ni nomaaa
Anayetumia nguvu kuliko akili katika hili anajulikana, mwambieni msimsingizie Wema. Wema ni mnyonge ndo maana alipoonewa ameona njia pekee ya kumlipiza mtesi wake ni kutoa angalau siri zake ili jamii ifahamu.Wema kachetuka Alafu inawezekana anatumia nguvu Sana kuliko akili ndo maana
Finally umenunua Tshirt mpya- Huu ni Mwaka wa Mafuraha furaha sana U know tunakura maisha tu U know and I lov it
le Mutuz
Walishaacha?Ukweli wanajichanganya wenyewe, kama ulijua anauza madawa kwanini usimtaje. Vyombo vya dola hakuna?
Si ulihojiwa je ulimtaja, sasa ukitaja ukirekodiwa ndiyo mahakama?.
Hadi hapo ushaanza kuonekana ni mfwa maji asiyeisha kutapatapa Wema, gugumaji utashikilia hata ukiona povu la wimbi utatamani ulidake uokokea na kifo cha maji.
Hata ikisemwa kuwa Aness aliwahi kukamatwa na madawa huko Bondeni, ile ni miaka imeenda kama unaamini ni kweii pia haiwezi kumuweka ndani. Unaweza kukuta alishaacha, utamtaja vipi hapo? Ni sawa kumuorodhesha Ray C au Young Dee hivi sasa kwenye list wakati walishaacha kitambo
Hakuna point hapo, wewe unashabikia visivyo na maana, [HASHTAG]#jichekiupya[/HASHTAG]Atatoka kama tuu wa madawa yakulevya wanatoka ndio sembuse wema, tatizo watz ni washabiki sana hata wavitu visivyokua na maana, sasa kwani Wema kaongea maneno gani kutisha kama muheshimiwa anatembea na huyo eggie kusemwa kuvunja sheria, Wema hajavunja sheria kusema anachokijua kuhusu makonda, other wise wamuonee tuu