Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mwalimu afadhari alisema mke wako: Sasa hii mbaya zaidi mambo ya kutoka kitandani na malaya wako,unakuja kusumbua watanzania kwa mambo yasio na investigation.
 
Simply , ni kwamba hapo kuna chuki binafsi tu...

Inaelekea makonder alinyimwa Kikojole* ,

Btw wema kafunguka sana kwenye ile clip, (tusubir kama masogange nae atakamatwa)
xx km kamtia masogange,batuli,kajala nk
wema ana nyapu gan ya kukaza wakat kila aliyehitaji kapita!
[HASHTAG]#hakun[/HASHTAG] mkate mgum mbel ya chai
 
Nadhani kwa mambo kama haya ya kipuuzi tusisingizie elimu. Sawa tumenyimwa elimu hata ujasiri nao hatuna?
 
Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli

Zinamtafutia shida Gani Makonda na Magufuli wote ni phony! Mnawatuhumu watuhumiwa wa utumiaji Madawa, Kama wana Nia ya kukamata Waathirika Mbona humwoni, Ray C kwenye hilo Kundi! Inaaminika Waingiza Madawa Wanakuja na Meli wengine, Kisha wanakuja Kama watalii na Maboti ya Mwendo Kasi Kila siku Jioni Wanaenda Kuyapakua Deep sea wanaleta nchi kavu Kidogo kidogo!

By The way Mnakumbuka Yule Mgiriki aliyempa Januari Makamba Michango ya Mamilioni ya Bumbuli Kupitia kwa Dada yake? na Januari akakiri? Lengo La Mgiriki yule ilokuwa Kusaidia Wageni Fulani Kujenga Bandari Bagamoyo, Why? Je ilikuwa ni Bandari ya Binafsi? Je Yule Mgiriki alikuwa na Uhusiano na, The Infamous Armenian Brothers? AKA # the Arthur Brothers# ?
 
Mange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Mfu anasubirigi adui yake? Yeye Mungu mpaka ajue ajapo Mange bado atakuwa hai an na influence? I dont think so?
 
Mimi nilidhani hoja yake kubwa ingekuwa ameonewa kwani hahusiki na matumizi pamoja na biashara hiyo haramu
 
Wema yuko sahihi kabisa. Huwezi kuanzisha vita huku wahuwika ambao tuhuma zekuwa wazi kabisa kwao ukiwaacha
Hata ukimkamata Leo utakuwa unaonyesha kuwa unafuta soo. Masogange all kamatwa na madawa ya kulevya SA
Kwa kuwa ni mtazania alitakiwa kuwa kwenye list ya wanaotakiwa kuhojiwa
Vita hii ni kiini macho

Wema yuko sahihi kihusu kutokamatwa kwa masogange ukitilia maanani kuwa anajulikana kwa kuwa amewahi kukamatwa
 
Hivi makonda si ana mke. Ata sielewi ilo tafrani uko nyumbani kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…