Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Dawa za Kulevya: Wema adai Makonda anatembea na Agnes Masogange ndio maana hakamatwi

Mwalimu afadhari alisema mke wako: Sasa hii mbaya zaidi mambo ya kutoka kitandani na malaya wako,unakuja kusumbua watanzania kwa mambo yasio na investigation.
 
Simply , ni kwamba hapo kuna chuki binafsi tu...

Inaelekea makonder alinyimwa Kikojole* ,

Btw wema kafunguka sana kwenye ile clip, (tusubir kama masogange nae atakamatwa)
xx km kamtia masogange,batuli,kajala nk
wema ana nyapu gan ya kukaza wakat kila aliyehitaji kapita!
[HASHTAG]#hakun[/HASHTAG] mkate mgum mbel ya chai
 
Nadhani kwa mambo kama haya ya kipuuzi tusisingizie elimu. Sawa tumenyimwa elimu hata ujasiri nao hatuna?
 
I love my Avatar

56852.jpg
 
Ila jamn tuache utani hizi voice clip zitamsababishia Wema matatizo zaid wao wanaona km sifa but ni kumuharibia mwenzao zaidi duh so sad kwa kweli

Zinamtafutia shida Gani Makonda na Magufuli wote ni phony! Mnawatuhumu watuhumiwa wa utumiaji Madawa, Kama wana Nia ya kukamata Waathirika Mbona humwoni, Ray C kwenye hilo Kundi! Inaaminika Waingiza Madawa Wanakuja na Meli wengine, Kisha wanakuja Kama watalii na Maboti ya Mwendo Kasi Kila siku Jioni Wanaenda Kuyapakua Deep sea wanaleta nchi kavu Kidogo kidogo!

By The way Mnakumbuka Yule Mgiriki aliyempa Januari Makamba Michango ya Mamilioni ya Bumbuli Kupitia kwa Dada yake? na Januari akakiri? Lengo La Mgiriki yule ilokuwa Kusaidia Wageni Fulani Kujenga Bandari Bagamoyo, Why? Je ilikuwa ni Bandari ya Binafsi? Je Yule Mgiriki alikuwa na Uhusiano na, The Infamous Armenian Brothers? AKA # the Arthur Brothers# ?
 
Mange mwenyewe ni suala la muda labda asirudi bongo maana wanamsubiri kwa ham kweli kweli na mkumbuke ni miaka kumi
Mfu anasubirigi adui yake? Yeye Mungu mpaka ajue ajapo Mange bado atakuwa hai an na influence? I dont think so?
 


======

Sakata la Madawa ya Kulevya limechukua sura mpya kufuatia mwanadada mashuhuri Wema Sepetu, ambaye ni mmoja wa watuhumiwa, kutoa ya moyoni juu ya sakata zima la kukamatwa kwao na kuhusisha tukio hilo na hila dhidi yake.

Pamoja na mambo mengine, Wema amedai kwamba RC Paul Makonda anatembea na Agnes Masogange na amempangia nyumba Makongo ndio maana hajakamatwa ktk kadhia ya Dawa za Kulevya.

Operesheni ya kukamata wanaojihusisha na madawa ya kulevya ilianzishwa na Paul Makonda mwishoni mwa wiki iliyopita, ambapo alitaja majina ya watu mbalimbali wanaohitajika kituoni kwa ajili ya mahojiano, wakiwemo wasanii na maaskari polisi.

=====
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda Simon Sirro amesema kuwa mpaka sasa Jeshi la Polisi linawashikilia watuhumiwa wa Dawa za Kulevya 112 na jumla ya kete 299 huku 12 kati yao wakifikishwa Mahakamani.

Kwa taarifa hii soma > Makonda: Watuhumiwa madawa ya kulevya kuanza kupandishwa kizimbani leo au kesho

Mimi nilidhani hoja yake kubwa ingekuwa ameonewa kwani hahusiki na matumizi pamoja na biashara hiyo haramu
 
Wema yuko sahihi kabisa. Huwezi kuanzisha vita huku wahuwika ambao tuhuma zekuwa wazi kabisa kwao ukiwaacha
Hata ukimkamata Leo utakuwa unaonyesha kuwa unafuta soo. Masogange all kamatwa na madawa ya kulevya SA
Kwa kuwa ni mtazania alitakiwa kuwa kwenye list ya wanaotakiwa kuhojiwa
Vita hii ni kiini macho

Wema yuko sahihi kihusu kutokamatwa kwa masogange ukitilia maanani kuwa anajulikana kwa kuwa amewahi kukamatwa
 
Back
Top Bottom