Dawa za kuongeza urefu

hahaaa dah njoo nikupunguzie wangu
 
Mkuu mbona wewe mrefu? Kuna Zakayo lara 1 anahangaika kila siku awe mrefu. Jivunie ulivyo
 
Jamani naombeni mnisaidie mahala ninapo weza kupata hizi dawa zinazoweza kumuongezea mwanadamu urefu kama kuna yeyote anae fahamu naomba anijuze
Mzee tafuta mahala ambapo yanapatikana madodoki ya mwendokasi jichanjie! Utakuwa mrefu ndugu kadili ya dodoki linavyokuwa! Zoezi jema la kuwa mrefu.
 
Mkuu muulize Lionel Messi wa Barcelona atakusaidia kwani naye inasemekana alipokuwa mtoto alikuwa mbilikomo wa kufa mtu lakini akapewa Hormones za kumsaidia kuongeza kimo chake.
 
Jamani naombeni mnisaidie mahala ninapo weza kupata hizi dawa zinazoweza kumuongezea mwanadamu urefu kama kuna yeyote anae fahamu naomba anijuze
Funga na kuomba Muulize sir God
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…