Kama serikali zinamikataba ya utegemezi kutoka kwa hawa watu wasio na utu, sisi wananchi tuchukue hatua za kususia matumizi ya bidhaa ambazo tuna mbadala wake tayari. Wakikosa soko, hawataziingiza tena labda waweke sheria inayozuia watu kutumia mimea.
Mara nyingi tumesikia vitu vingi sana vina madhara kwa binadamu tena si kwa bahati mbaya:-
1) Misaada ya kujengewa miradi na china = Ufisadi wenye lengo la kumilikishana Ardhi za nchi maskini kuwa himaya ya china.
2) Condom za kuzuia HIV & Uzazi wa mpango = Zina virusi vya ukimwi ili kuwamaliza Waafrika.
3) Vidonge vya uzazi wa mpango = vinawa sterilize wanawake wasishike ujauzito ili baadaye Africa ibaki bila watu.
4) Brazier za wamama kutoka nje = Zina vigoroli vimefichwa kwenye hems vinavyohusishwa na cancer za matiti.
5) Chanjo za korona = hazijafanyiwa majaribio kwa wanyama na hivyo zinajaribiwa kwa watu lakini zinaongeza maambukizi ya korona, zinaleta virusi vya ukimwi, zinaua, zinakwend kuathiri utu wa mtu na haijulikani baada ya kuathirika huko kama watazaliwa binadamu wa kawaida tena.
6)
nimechoka kwa sababu niavyoandika nachukia na mimi sitaki kuchukia.
NI wakati muafaka wa Waafrica kukataa kutawaliwa na kufanywa watumwa mamboleo.