Dawa za minyoo kwa mama mjamzito

Dawa za minyoo kwa mama mjamzito

paparaz

Member
Joined
Jun 3, 2012
Posts
30
Reaction score
1
Habari zenu wanaJF. Hivi mama mjamzito anaruhusiwa kumeza dawa za minyoo aina ya Albendazole? madaktari naombeni ushauri wenu.
 
Anaruhusiwa katika wiki ya 28 huwa wanapewa clinic dawa za minyoo na malaria
 
Back
Top Bottom