poteleambali
Member
- Jul 23, 2015
- 80
- 102
- Thread starter
- #21
Mkuu nimesimulia alichonieleza, kuhusu hospitali , aliulizwa tu exposure ilikua lini alivyojibu ikaonekana ni ndani ya masaa 72 akapewa.Sasa wewe fundi umesema ulienda hospitali ya serikali ambapo kuna wataalam wa tiba kwahiyo unataka kusema wao hawajakueleza dawa hizo zinakuwa bora kuzitumia ndani ya muda gani hadi useme ulipitia machapisho?
Haya mengine ni katika kudodosa machapisho ndo akaoni hivyo
Ferooz ft Professor Jay – Starehe