Dawa zinatengezwa kwa ingredients zilizo kwenye leaflet au kuna vingine wanaweka ila hawavisemi?

Embu tasfiri kwa kiswahili "phenylacetaniline"
 
Hahahaha..unajua unanifurahisha sana..utajuaje nutrients kwa ladha ya chakula??
Swali zuri Darmian.
Kwa mfano nataka nijue ladha ya nutrient 'x'

1: Naingia google, naangalia chakula chenye nutririon 'x' nyingi kuliko vyakula vyote. Yaani naangalia chakula chenye % nyingi kuliko vyakula vyote kwenye nutrient 'x'

2: Nikishakipata hiko chakula chenye nutrient nyingi ya 'x' kuliko vyakula vyote, naanza kukila/kukitafuna.

3: Kipindi ninakila/ninakitafuna, naangalia ladha ipi imezidi, yaani naangalia ladha ipi ninaisikia kwa wazi pindi ninapotafuna.

3: Ladha iliyozidi ndiyo nutrient 'x'

Mpaka hapo nitakuwa nimeshajua kuwa ladha ya nutrient 'x'. Hata nikiwa nakula vyakula vingine, nikihisi ladha fulani wakati wa kutafuna, nitajua hii ni nutrient fulani.
 
Dawa za viwandani huwekwa vitu vya kupunguza uchungu na kuzifanywa zinyweke. Ukimeza active ingridient yenyewe unaweza hata kutapika na isikusaidie.
 
Dawa za viwandani huwekwa vitu vya kupunguza uchungu na kuzifanywa zinyweke. Ukimeza active ingridient yenyewe unaweza hata kutapika na isikusaidie.
Dawa za viwandani ni sawasawa na dawa za makampuni ya kuuza dawa, za viwandani na za makampuni ya kutengeneza dawa zote zinaandaliwa maabara. Tofauti yake, za viwandani zinatengenezwa ili mradi tu wauze, pia viwanda vinauza raw materials (active and inactive ingredients), wakati za makampuni, kampuni zinatengeneza dawa bora ili kulinda hadhi na jina la kampuni.

Kumeza active ingredients peke yake kunatakiwa umakini sana, kwenye dawa yoyote wamepima kila active ingredient ni gram au milligram kadhaa, ukizidisha vipimo inaweza kukuletea athari. Kwahiyo ukitaka kumeza ingredients peke yake, angalia kila ingredient inatakiwa iwe katika mass ngapi. Halafu wakati mwingine inakuwa ni ngumu kidogo kujua dawa fulani ina gram kadhaa kila ingredient, kwasababu wanaotengeneza dawa, kwenye leaflet au google hawaandiki kila ingredient ina gram kadhaa.
 
Embu tasfiri kwa kiswahili "phenylacetaniline"
Mkuu, huwa nikiamua kufuatilia jambo, nitalifualitilia mpaka nilijue, active ingredients hata zikiwa na majina magumu kiasi gani, nitahakikisha nazijua kila moja kiswahili chake ni material gani.

Hilo neno lako la "phenylacetaniline" lingekuwa ingredient ningekutafutia maana, lakini siyo ingredient, bali ni chemical inayoundwa na muunganiko wa phenyl na acetylene. Kwanza umelikosea, haliandikwi "phenylacetaniline", linaandikwa phenylacetylene.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…