Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,385
- 10,659
Habari!
Naomba kujifunza, wewe binti/mwanamke unatumia dawa gani kuzuia mimba pindi unapofanya tendo la ndoa bila kinga?
Kuna wale wanaotumia vidonge vya Asprin au Metronidazole kabla ya tendo, je inawasaidia kweli?
Vipi kuhusu soda ya Cocacola?
Tujikite katika njia zilizo tofauti na contraceptives!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujifunza, wewe binti/mwanamke unatumia dawa gani kuzuia mimba pindi unapofanya tendo la ndoa bila kinga?
Kuna wale wanaotumia vidonge vya Asprin au Metronidazole kabla ya tendo, je inawasaidia kweli?
Vipi kuhusu soda ya Cocacola?
Tujikite katika njia zilizo tofauti na contraceptives!
Sent using Jamii Forums mobile app