godson njamakuya
Senior Member
- Mar 6, 2021
- 170
- 196
Inakuwa ngumu kwa sababu hao wasoma mita wanapokuja kusoma hawamshirikishi mwenye nyumba, wao wakishamaliza yao wanaondoka kimya kimya, sasa inakuwa ngumu kutunzaPoleni sana, tunzeni kumbukumbu za units zenu...
Ushauri mzuriβοΈPoleni sana, tunzeni kumbukumbu za units zenu...
Hamna nyumbaHao ni wezi kabisa, kuna haja ya kuwaripoti kwenye mamlaka husika. Haiwezekani mtu apewe bill ya Tshs 500,000/= kwa mwezi kwa matumizi tu kawaida ya nyumbani. Au Sister una mashamba unafanya kilimo cha umwagiliaji?
Sina shamba nyumba ina wapangaji family 2 umla watu sita bili ilikua inakuja elfu 30 wakaongeza hadi 50 nikanyamaza. Sasa wameniwekea mwezi lakin5 nikaenda kulalamika sijalipa wakakagua mita wakasema mita yao ipo sawa tatizo litakua kwangu kuna leakage kubwa ndo maana bili imekuja lakin5 sasa nilipie kwa awamu lakin2 mbili na mie uwezo sina. Sa hio leakge si ingeonekana nimeita fundi bomba binafis kakagua anasema nyumba haina leakageHao ni wezi kabisa, kuna haja ya kuwaripoti kwenye mamlaka husika. Haiwezekani mtu apewe bill ya Tshs 500,000/= kwa mwezi kwa matumizi tu kawaida ya nyumbani. Au Sister una mashamba unafanya kilimo cha umwagiliaji?
Mimi ya kwangu iliharibika bill ikawa inakuja 58000, 53000 mara 35000, wakati nilikuwa nimezoea bill ya 16000 mpaka 18000, nikawatembelea ofsini kwoa nikawaeleza shida yangu, siku iliyofuata wakaja wakaitoa wakafunga mpya ila walisema kama nataka mchakato uwe mfupi nilipe hiyo bill basi otherwise itachukua muda.Kuna huu mchongo ambao unaendelea Kibaha japo kuna washkaji zangu nilizungumza nao wanadai kuwa siyo Kibaha peke yake bali maeneo mengi.
Inadaiwa kuwa wana mchezo wa kubambikia watu bili za maji.
Inashangaza kidogo kwa kuwa malipo unalipia online, waoa wanafaidikaje hapo au ni uzembe wao tu?
Kuna ndugu yangu mita yake ya maji imeharibika na ameshaenda mara kadhaa kuripoti lakini hawaendi kuibadilisha, kisha ikifika mwisho wa mwezi wanabuni bili wanakutumia.
Kuna mama mmoja naye nilimkuta palepale ofisini kwao Maili Moja analalamika kuwa kuna siku bili ilikuja zaidi ya elfu 60 kwa mwezi wakati bili yake huwa haizidi buku 15 kwa mwezi.
Wakamwambia mama fuatilia labda mabomba yako au system yako ya maji ina shida, bi mkubwa akakomaa hakufanya kitu anasema akalipa kishingo upande na hakurekebisha popote na matumizi yake ni yaleyale, mwezi uliofuata wakatuma bili buku 15 ileile ya mwanzo.
Mimi mwenyewe mita yangu imeharibika ina mwaka sasa, haisomi lakini kila mwezi jamaa wanakuja eti kusoma mita na bili natumiwa, nikumuuliza unasomaje hizo namba ananijibu niendi ofisini kwao ndiyo wana majibu.
Wazee hoo kitu ipoje huo kwenu?
Mnapenda kujipa stress bure!! Umeenda kwa wahusika,nao wamekujulisha ya kwamba lipia bill YAKO tu. SASA kinachokufanya uishiwe nguvu ni kipi??. Hilo deni ni la malipo YAKO ya maunganisho ya maji( new connection) baada ya kufanya malipo wao watatakiwa wafanye Adjustment ndo maana walikwambia uachane nayo! Au ulidaiwa tena?? Maana hata sisi ilitokea ila baada ya miezi miwili deni halikuonekana tena!!Nimeweka Bomba Jipya lina miezi miwili ( domestic)
Ndio kwanza tumetumia unit 10 nimetumiwa bill imesoma 255000
Haki nmeshangaa, nmewafata Dawasa pale segerea wakasema watashugulikia nilipie ela ya unit hizo..
Cha kushangaza nmelipia nmeambiwa bado nadaiwa laki2 na 30>>>>
Mpaka nguvu sina jamani
Nenda moja kwa moja kwa Mh Jumaa Aweso Waziri mwenye dhamana na maji, mueleze malalamiko yako uone Meneja wa DAWASA atakavyoshukiwa, nna wasiwasi na wale wasoma mita wana kamchezo ka kubambukia watu units.Hamna nyumba
Sina shamba nyumba ina wapangaji family 2 umla watu sita bili ilikua inakuja elfu 30 wakaongeza hadi 50 nikanyamaza. Sasa wameniwekea mwezi lakin5 nikaenda kulalamika sijalipa wakakagua mita wakasema mita yao ipo sawa tatizo litakua kwangu kuna leakage kubwa ndo maana bili imekuja lakin5 sasa nilipie kwa awamu lakin2 mbili na mie uwezo sina. Sa hio leakge si ingeonekana nimeita fundi bomba binafis kakagua anasema nyumba haina leakage
Mwezi huu nmeletewa bill nadaiwa laki 4 na nusu...Mnapenda kujipa stress bure!! Umeenda kwa wahusika,nao wamekujulisha ya kwamba lipia bill YAKO tu. SASA kinachokufanya uishiwe nguvu ni kipi??. Hilo deni ni la malipo YAKO ya maunganisho ya maji( new connection) baada ya kufanya malipo wao watatakiwa wafanye Adjustment ndo maana walikwambia uachane nayo! Au ulidaiwa tena?? Maana hata sisi ilitokea ila baada ya miezi miwili deni halikuonekana tena!!
Tujifunze kuridhika na majibu tunayopewa,huku mitandaoni huwa tunajazana upepo tu lakini ukienda Sehemu husika wanakuelekeza vizuri sana
Bora wewe! Sisi tumetumiwa bill ya 6,000,000 matumizi ya maji mwezi mmoja eti wanadai mita ilikua Mbovu inatembea haraka kama Cherehani ila wamekataa kufuta hilo deni wamesema Lazima tulilipe π Washenzi sanaMwezi huu nmeletewa bill nadaiwa laki 4 na nusu...
Nmetumia unit 9 tu kwa mwezi june na July hapo unasemaje mkuu
Bora wewe! Sisi tumetumiwa bill ya 6,000,000 matumizi ya maji mwezi mmoja eti wanadai mita ilikua Mbovu inatembea haraka kama Cherehani ila wamekataa kufuta hilo deni wamesema Lazima tulilipe π Washenzi sana
I swear sikutanii Ndugu yangu. Wamegoma kufuta deni although wamekiri mita yao ilikua mbovu ila wamesema haiwahusu lazima tulipe 6 million kila mwezi tupunguze 100,000πBill ya maji milioni sita.
Yaelekea hawa wenyewe wamecheka
Dawasa wezi sana. Bill ya maji kwa mwezi ni kubwa kuliko ya umeme
Hapo mnakua mmetumia kama unit 3600 hivi [emoji23][emoji23][emoji23]Bora wewe! Sisi tumetumiwa bill ya 6,000,000 matumizi ya maji mwezi mmoja eti wanadai mita ilikua Mbovu inatembea haraka kama Cherehani ila wamekataa kufuta hilo deni wamesema Lazima tulilipe [emoji24] Washenzi sana
I swear sikutanii Ndugu yangu. Wamegoma kufuta deni although wamekiri mita yao ilikua mbovu ila wamesema haiwahusu lazima tulipe 6 million kila mwezi tupunguze 100,000π