DAWASA kwanini mmekata Maji bila Taarifa Kawe huku mkijua kuwa ndiyo Dar es Salaam na Tanzania?

DAWASA kwanini mmekata Maji bila Taarifa Kawe huku mkijua kuwa ndiyo Dar es Salaam na Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanza kwanini mkate Maji eneo la Kawe? Hivi hamjui kabisa kuwa Kawe wanakaa akina nani? Mnataka Kazi au hamtaki?

Watendaji wa DAWASA kwa sasa naumalizia Usingizi wangu ila nikiamka Saa 2 Kamili naomba nikute Mabomba yote ya Kawe yanatiririsha Maji vinginevyo nitakuja hapo Ofisini Kwenu na ndipo mtanielezea vyema huku nikiwa na Sura yangu ya Usununu (Hasira)

Jamani natania tu ila Watu wa DAWASA mmetukatia Maji kimya kimya Kawe tokea Jana Alasiri tena bila ya hata kutoa Taarifa popote hadi katika Kurasa zenu za Mitandao.

Kuna tatizo gani labda?

Kawe bila Maji huwa ni balaa.
 
Wewe ndio nawakuita etii una akili na hizi Thread zako za ovyoo. Eti kawe ndio Dar. Huko sikama tuuu kijiji flani huko Nanyamba.

Acha matisho wewe. Na warudishi ng'oo na kazi wataendelea kufanya
 
Majibu yao huwa ni yaleyale utasikia bomba linalopitisha maji la Ruvu chini limepasuka mafundi wapo site

Poleni, hauna vyombo vya kuhifadhia?
 
Kawe ndo Dar? Mkuu unaweza kujivunjia heshima kwa jambo dogo sana, yani pale mchafu koge ukwamani ndo useme ni centre ya Dar? Bullshit
 
Wewe ndio nawakuita etii una akili na hizi Thread zako za ovyoo. Eti kawe ndio Dar. Huko sikama tuuu kijiji flani huko Nanyamba.

Acha matisho wewe. Na warudishi ng'oo na kazi wataendelea kufanya
Kwanza hakai hata dar yupo huko bush Bunda vijijini kawe anafanya kupasikia.

Mkuu hujiulizi hapa jf tunatumia fake Id hakunaga mtu anae tumia fake Id hapa jf ambae anasema mahali anapo kaa never.
 
Mimi nikajua wakazi wa kawe wote mpo new york kwa hisani ya mbunge wenu mpendwa dr gwaji boy kumbe ndio kwanza hata huduma ya maji ya uhakika ni shida!
 
KAWE NDO DAR? MKUU UNAWEZA KUJIVUNJIA HESHIMA KWA JAMBO DOGO SANA, YANI PALE MCHAFU KOGE UKWAMANI NDO USEME NI CENTRE YA DAR??? BULLSHIT
Hajawahi kufika dar huyo mkuu. Haishi Kawe. Kwao ni bush huko kyabakari mugumu
 
Kwanza kwanini mkate Maji eneo la Kawe? Hivi hamjui kabisa kuwa Kawe wanakaa akina nani? Mnataka Kazi au hamtaki?

Watendaji wa Dawasa kwa sasa naumalizia Usingizi wangu ila nikiamka Saa 2 Kamili naomba nikute Mabomba yote ya Kawe yanatiririsha Maji vinginevyo nitakuja hapo Ofisini Kwenu na ndipo mtanielezea vyema huku nikiwa na Sura yangu ya Usununu ( Hasira )

Jamani natania tu ila Watu wa Dawasa mmetukatia Maji kimya kimya Kawe tokea Jana Alasiri tena bila ya hata kutoa Taarifa poppte hadi katika Kurasa zenu za Mitandao. Kuna tatizo gani labda?

Kawe bila Maji huwa ni balaa.

Mtoa mada hayupo hata kawe yupo zake kwao huko Bunda vijijini amawachora tu.
 

Attachments

  • FB_IMG_16736826982778243.jpg
    FB_IMG_16736826982778243.jpg
    14 KB · Views: 6
Anamaanisha Jimbo la Kawe

Kuanzia Masaki hadi Mbweni

Mmeelewa ?!!
Wenye Akili Kubwa na Wachache kama Wewe ndiyo mmenielewa na Siku zote huwa mnanielewa ila siyo 'Midunduna' kama LIKUD na Wenzake.

Kumuelewa GENTAMYCINE yataka Akili zilizobarikiwa hasa na Mwenyezi Mungu ila ukiwa na za 'Kutawazia' tu Chooni alizonazo LIKUD siku zote utapata shida mno Kumuelewa.
 
KAWE NDO DAR? MKUU UNAWEZA KUJIVUNJIA HESHIMA KWA JAMBO DOGO SANA, YANI PALE MCHAFU KOGE UKWAMANI NDO USEME NI CENTRE YA DAR??? BULLSHIT
Hopeless and Nut kabisa Wewe hivi hujaona hapo katika Aya ya Tatu nimesema kuwa nilikuwa natania tu?

Style yangu ya Uwasilishaji wa Jambo lolote hapa lazima liwe dramatic and humorous nashangaa mpaka leo hamjanielewa tu.

Mnakera.
 
Wewe ndio nawakuita etii una akili

Na hizi Thread zako za ovyoo

Eti kawe ndio Dar .

Huko sikama tuuu kijiji flani huko Nanyamba.

Acha matisho wewe .

Na warudishi ng'oo na kazi wataendelea kufanya
Sasa kama umeshajua kuwa Threads zangu ni za hovyo na hunipendi na Unanichukia kama Dunduna LIKUD kwani Kutwa mki Log In tu hapa JamiiForums ni lazima msome Mada zangu?

Huwa nawalazimisha Kuzisoma / Kunisoma? Hivi nikiwaita Majuha na Wendawazimu nitakuwa nawakoseeni? Kunichukia na Kunishobokea Kwenu Kutwa ndiko Kunaniongezea Umaarufu wangu hivyo msiache sawa?
 
Hopeless and Nut kabisa Wewe hivi hujaona hapo katika Aya ya Tatu nimesema kuwa nilikuwa natania tu?

Style yangu ya Uwasilishaji wa Jambo lolote hapa lazima liwe dramatic and humorous nashangaa mpaka leo hamjanielewa tu.

Mnakera.
MKUU WEWE SIO LE MUTUZ AKA LE MUBEBEZ KWELI???
 
Ukisema Kawe ni Dar unamaanisha Dar yote ni waswahili, hii sehemu ni uswahilini, nimekaa pale. "Kaa Kawe ukawie".
Na kama uko Dar es Salaam na hujakaa Kawe basi Wewe bado hufai kuitwa Mjanja na Mtoto wa Mjini.
 
Back
Top Bottom