DAWASA Luguruni Kibamba tufungulieni maji kwa wakati, tumechoka kuteseka

DAWASA Luguruni Kibamba tufungulieni maji kwa wakati, tumechoka kuteseka

Poleni aisee, maeneo ya kwa Mkuu wa Wilaya, ukishuka hadi kwa masister kuelekea Njeteni mambo ni [emoji91] maji 24/7.
Shukran sn mkuu.

Yaani kibamba kuanzia magari saba, mbezi inn kote maji 24/7.

Lakini ukivuka Ng,'ambo ya kwa mkuu wa wilaya.

Makondeko, luguruni eneo lote upande wa pili wa barabara ,
maji shida.

Ajabu mwisho wa mwezi bili wanatuma sms mara kumi kumi.
 
Back
Top Bottom