DAWASA Luguruni Kibamba tufungulieni maji kwa wakati, tumechoka kuteseka

Poleni aisee, maeneo ya kwa Mkuu wa Wilaya, ukishuka hadi kwa masister kuelekea Njeteni mambo ni [emoji91] maji 24/7.
Shukran sn mkuu.

Yaani kibamba kuanzia magari saba, mbezi inn kote maji 24/7.

Lakini ukivuka Ng,'ambo ya kwa mkuu wa wilaya.

Makondeko, luguruni eneo lote upande wa pili wa barabara ,
maji shida.

Ajabu mwisho wa mwezi bili wanatuma sms mara kumi kumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…