mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,005 Reaction score 20,805 Mar 8, 2022 Thread starter #21 ERoni said: Poleni aisee, maeneo ya kwa Mkuu wa Wilaya, ukishuka hadi kwa masister kuelekea Njeteni mambo ni [emoji91] maji 24/7. Click to expand... Shukran sn mkuu. Yaani kibamba kuanzia magari saba, mbezi inn kote maji 24/7. Lakini ukivuka Ng,'ambo ya kwa mkuu wa wilaya. Makondeko, luguruni eneo lote upande wa pili wa barabara , maji shida. Ajabu mwisho wa mwezi bili wanatuma sms mara kumi kumi.
ERoni said: Poleni aisee, maeneo ya kwa Mkuu wa Wilaya, ukishuka hadi kwa masister kuelekea Njeteni mambo ni [emoji91] maji 24/7. Click to expand... Shukran sn mkuu. Yaani kibamba kuanzia magari saba, mbezi inn kote maji 24/7. Lakini ukivuka Ng,'ambo ya kwa mkuu wa wilaya. Makondeko, luguruni eneo lote upande wa pili wa barabara , maji shida. Ajabu mwisho wa mwezi bili wanatuma sms mara kumi kumi.