CCM kama imeshindwa kulifanya tatizo la maji Historia unafikiri nini wanaweza sasa?..
Kama jiji la Dar es salaam halina maji na Rais ndio akaishi, mawaziri wote wanaishi hapo, Tiss director anaishi hapo, CDF anaishi hapo nk unafikiri wapi sasa kutakuwa hakuna shida ya maji?..
Zipo wilaya na miji mikoani huko maisha yao ni maji ya visima huku tukiwa Karne ya 21.
Yaani toka Uhuru 1961 mpaka leo hatuna maji tena kwenye mji mkuu kibiashara, maji ambayo ni basic tumeshindwa unafikiri tunaweza nini sasa?