KERO DAWASA mgao, umeme mgao mtatuua Dar jamani

KERO DAWASA mgao, umeme mgao mtatuua Dar jamani

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hakuna Mji wa hovyo kuishi kama Dar

Huko Hadi hewa safi ni ya mgao ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

My Take
Mkiambiwa lipeni tozo Serikali ilete Huduma Huwa mnapinga na mnalalmika sana.

Bado hamjasema Hadi mseme yaani ndio kwanza bwawa la kidunda Liko.20% ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kweli kunguni ni kunguni na sasa leo umekiri kuwa kinachoendesha miradi na kila kitu cha serikali.

Sasa ile kauli yenu ya mama ametoa bilioni kadhaa kwa ajili ya ujenzi huwa mnaitoa akili mkiwa mmeziacha nyuma?

Watu wanalipa kodi zinaenda kulipa kunguni kama wewe na matukio ya kipuuzi kama kizimkazi festival, knock out ya mama, bodaboda za mama, chai ya mama, daftari la mama, birthday ya mama.

Kwa taarifa yako tu ni kuwa hizo fulana, kofia , mabango , posho ni pesa za walipa kodi na hakuna aliyetoa mfukoni mwake kufadhili matukio ya hovyo kama hayo.
IMG_20250127_191906.jpg
 
Kweli kunguni ni kunguni na sasa leo umekiri kuwa kinachoendesha miradi na kila kitu cha serikali.

Sasa ile kauli yenu ya mama ametoa bilioni kadhaa kwa ajili ya ujenzi huwa mnaitoa akili mkiwa mmeziacha nyuma?

Watu wanalipa kodi zinaenda kulipa kunguni kama wewe na matukio ya kipuuzi kama kizimkazi festival, knock out ya mama, bodaboda za mama, chai ya mama, daftari la mama, birthday ya mama.

Kwa taarifa yako tu ni kuwa hizo fulana, kofia , mabango , posho ni pesa za walipa kodi na hakuna aliyetoa mfukoni mwake kufadhili matukio ya hovyo kama hayo.
View attachment 3257508
Ndio ni mama ndio alikuja na programu ya tozo mkakataa na kumuita ni tozo Sasa kawaacha mle matunda mliyopanda.

Hamtaki kutoa ila mnataka Huduma Ili pesa itokee wapi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Bado hamjasema aisee,Nina Uzi humu wakuponda nyie walalamishi wa Dar ngoja niusake
 
Na hili jua huku unapigwa mgao wa maji wiki nzima , ukirudi japo uwashe feni unapigwa mgao wa umeme basi unakaa kama mbuzi mwenye kiu ukibweka huku ulimi nje ......mtatuua jamani ..... achilieni hata maji tu
Si bora nyie sisi hapa kigurunyembe tuna mwezi wa sita hutuna maji.
Juzi hapa waziri Aweso kambadilisha mkurugenzi katuletea mwingine ambaye hana tofauti na aliyetoka.

Kwa hali ilivyo, bora ningezaliwa paka ulaya au kwa yule mzee fiksi
 
Si bora nyie sisi hapa kigurunyembe tuna mwezi wa sita hutuna maji.
Juzi hapa waziri Aweso kambadilisha mkurugenzi katuletea mwingine ambaye hana tofauti na aliyetoka.

Kwa hali ilivyo, bora ningezaliwa paka ulaya au kwa yule mzee fiksi
Kinacholeta maji ni hela na sio Mkurugenzi.

Ndio kwanza bwawa la kidunda liko 20% ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ndio ni mama ndio alikuja na programu ya tozo mkakataa na kumuita ni tozo Sasa kawaacha mle matunda mliyopanda.

Hamtaki kutoa ila mnataka Huduma Ili pesa itokee wapi? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Bado hamjasema aisee,Nina Uzi humu wakuponda nyie walalamishi wa Dar ngoja niusake
Kwahiyo unaamini hao wananchi wa eneo hilo hawalipi kodi?

Watu walikataa kulipa tozo zinazoenda kufanya mambo ya kipuuzi ila sio huduma za msingi ambazo serikali imezipa kisogo.

Imagine metropolitan city hakuna maji wala umeme wa uhakika halafu kuna kunguni mnasema mama anaupiga mwingi?
 
Kweli kunguni ni kunguni na sasa leo umekiri kuwa kinachoendesha miradi na kila kitu cha serikali.

Sasa ile kauli yenu ya mama ametoa bilioni kadhaa kwa ajili ya ujenzi huwa mnaitoa akili mkiwa mmeziacha nyuma?

Watu wanalipa kodi zinaenda kulipa kunguni kama wewe na matukio ya kipuuzi kama kizimkazi festival, knock out ya mama, bodaboda za mama, chai ya mama, daftari la mama, birthday ya mama.

Kwa taarifa yako tu ni kuwa hizo fulana, kofia , mabango , posho ni pesa za walipa kodi na hakuna aliyetoa mfukoni mwake kufadhili matukio ya hovyo kama hayo.
View attachment 3257508
Hao wanaosema mama mitano tena wanaishi Tanzania ipi?
 
Kwahiyo unaamini hao wananchi wa eneo hilo hawalipi kodi?

Watu walikataa kulipa tozo zinazoenda kufanya mambo ya kipuuzi ila sio huduma za msingi ambazo serikali imezipa kisogo.

Imagine metropolitan city hakuna maji wala umeme wa uhakika halafu kuna kunguni mnasema mama anaupiga mwingi?
Watu wa Dar ndio walikataa tozo ya miamala na Mafuta ambazo zilikuwa specific Kwa maji na Barabara.

Nendeni ufipa mkapate maji
 
Watu wa Dar ndio walikataa tozo ya miamala na Mafuta ambazo zilikuwa specific Kwa maji na Barabara.

Nendeni ufipa mkapate maji
Wewe kavae Samia Style hiyo kama aliyovaa poison master ndio mambo unayoweza.

Single digit IQ .
 
Hivi Bado Kuna umeme wa mgao kweli ? Si tunapewa taarifa kua Sasa tuna umeme wa kutosha na mwingi zaidi ya matumizi?
Shida ni Nini ?
Kuna ukarabati wa mitambo ya pale ubungo ndio sababu ya upungufu wa umeme kwa mikoa ya pwani , Tanga na Zanzibar.
 
Na hili jua huku unapigwa mgao wa maji wiki nzima , ukirudi japo uwashe feni unapigwa mgao wa umeme basi unakaa kama mbuzi mwenye kiu ukibweka huku ulimi nje ......mtatuua jamani ..... achilieni hata maji tu
Mfano huku maeno ya mikochen tangu mwezi wa pili hakuna majina lakin bili inatoka na leo pia wameleta bili wakat maji hakuna na hayajawahi toka hata siku moja lakin bili imekuja karibia 40k
 
Mfano huku maeno ya mikochen tangu mwezi wa pili hakuna majina lakin bili inatoka na leo pia wameleta bili wakat maji hakuna na hayajawahi toka hata siku moja lakin bili imekuja karibia 40k
Mama amechimba visima 1000 daresalaam tu mwaka jana.
Nyie mnaosema hampati maji mko daresalaam ipi?
 
Back
Top Bottom