Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 593
- 1,376
Wakuu salam,
Wakazi wa Mbezi Beach hatuna maji ni siku ya tatu sasa, kuna nini?
Au kuna matengenezo yalitangazwa na yamenipita? Maana sijasikia popote, hata kama kuna matengenezo ndio siku tatu jamani? Mnafikiri tunaishije?
Halafu maji hayajaacha kuwa na machafu/vumbi! Sasa vumbi kwenye maji haitoshi sasa mnatukatia kabisa! Na bado bili ikija inagonga mule mule!
Aloo mturudishe maji jamani, Aweso ulijitapa wakati wa kusoma bajeti kuwa sekta imeimarika, ndiyo hivi wanachi siku tatu hatuna maji? Na kuna nyuzi kibao humu za maji kuwa machafu, huyaoni haya malalamiko, ubora huo uliokuwa unaongelea ndio upi?
Turudishieni maji bwana!
===
Ufafanuzi wa DAWASA soma: DAWASA: Kuendelea kwa matengenezo ya umeme katika mitambo ya maji ya Ruvu juu na Ruvu chini
Wakazi wa Mbezi Beach hatuna maji ni siku ya tatu sasa, kuna nini?
Au kuna matengenezo yalitangazwa na yamenipita? Maana sijasikia popote, hata kama kuna matengenezo ndio siku tatu jamani? Mnafikiri tunaishije?
Halafu maji hayajaacha kuwa na machafu/vumbi! Sasa vumbi kwenye maji haitoshi sasa mnatukatia kabisa! Na bado bili ikija inagonga mule mule!
Aloo mturudishe maji jamani, Aweso ulijitapa wakati wa kusoma bajeti kuwa sekta imeimarika, ndiyo hivi wanachi siku tatu hatuna maji? Na kuna nyuzi kibao humu za maji kuwa machafu, huyaoni haya malalamiko, ubora huo uliokuwa unaongelea ndio upi?
Turudishieni maji bwana!
===
Ufafanuzi wa DAWASA soma: DAWASA: Kuendelea kwa matengenezo ya umeme katika mitambo ya maji ya Ruvu juu na Ruvu chini