Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda huko huku ni kitu mukide maji masafi sana, yamefanyiwa tiba ukiletewa maji machafu kipindupindu na homa za matumbo kinakua ndugu yako wa damu Baba mmoja Mama mmojaHuku Ukonga wanayaleta Ila ni tope hayafai hata kumwagilia sijajua shida Nini maji ya dimbwi Yana afadhali
We kwenu wapi?HAMENI
HAMNA MAKWENU..!
wazaramo wa watu wamebanwa tu na wahamiaji
Luhemeja kaachia ofisi?/Katenguliwa?Hii mamlaka ya maji Dar na Pwani tangu aondoke Eng Luhemeja imekuwa kero tupu.
Mgawo wa maji kila mara pamoja na kwamba mvua zinanyesha kila siku wiki moja.
Sasa wakazi wa Kimara hatuna maji na bila hata taarifa kama kuna shida au mgawo.
Aisee npo hapa kigamboni mitaa ya tuamoyo mi ni mgeni mbona maji ni ya chumvi?Poleni sana hata huku kigamboni Kuna mda wanazingua sana
Sisi wa majohe gongo la mboto tumetimiza mwezi na wiki mbili bila maji na hatujui sababu ni nn maana km mvua zinanyesha za kutoshaHii mamlaka ya maji Dar na Pwani tangu aondoke Eng Luhemeja imekuwa kero tupu.
Mgawo wa maji kila mara pamoja na kwamba mvua zinanyesha kila siku wiki moja.
Sasa wakazi wa Kimara hatuna maji na bila hata taarifa kama kuna shida au mgawo.
Nchi yetu sote hii bro hakuna aliyemfukuza mtu ni wao kwa utashi wao walituuzia.HAMENI
HAMNA MAKWENU..!
wazaramo wa watu wamebanwa tu na wahamiaji
Walevi bwana,ulichoandika hapa wewe unakiona kinawezekana ktk maisha ya kawaida ya kila siku?Kunywa bia kama maji shida