Dawasa tangu aondoke Eng. Luhemeja tunakoma

Dawasa tangu aondoke Eng. Luhemeja tunakoma

Kuna wajuba Maeneo ya Kimara na Kinyerezi wanakwambia Biashara ya kuuza maji kwa Water Bowser imerejea kwa kasi sana, gari mpya canter zenye matanki tayari zipo mtaani za kutosha Watu wanameki money. Mpaaaaaaka mthemeeee
 
Luhemeja kaachia ofisi?/Katenguliwa?
Ana kiherehere chawa wa mama....kutwa kujisifia yete ni familia ya mama....mpuuzi msukuma chawa mkubwa aibu....yuko PM office ksma KM
 
Ana kiherehere chawa wa mama....kutwa kujisifia yete ni familia ya mama....mpuuzi msukuma chawa mkubwa aibu....yuko PM office ksma KM
Lakini alikuwa anafanya kazi iliyotukuka kuliko wa sasa .Dawasco ya sasa mateso tu na waziri yupo anabgalia tu
 
Maji yanatoka machafu Sana kwanini Dawasa.
 
Sawa na Mbezi Makabe huku maji yalikuwa yanatoka kila siku ila toka dec mwaka jana wakaanza kuyakata wiki hii maji wameyaachia jumatatu tu mpaka leo kukavu na taarifa hakuna.

Bado maji kutoka machafu.
Vipi hali ikoje? yashaanza kutoka? namba ya mbunge mnayo? ya diwani? ya mwenyekiti serikali ya mtaa? hivi huwa mnadhani zile kura mnazowapa ni za nini? hamuoni uhusiano wa kura zenu na huduma mnazopata? ngoja muisome namba mpaka maji muite maa
 
Vipi hali ikoje? yashaanza kutoka? namba ya mbunge mnayo? ya diwani? ya mwenyekiti serikali ya mtaa? hivi huwa mnadhani zile kura mnazowapa ni za nini? hamuoni uhusiano wa kura zenu na huduma mnazopata? ngoja muisome namba mpaka maji muite maa
Ninakoishi kwa sheria za kipumbavu zilizowekwa na ccm siruhusiwi kupiga kura,mjumbe ni jirani yangu nae nimekuwa nikimsikia akilalamika kama tunavyolalamika wengine.

Hao mbunge,diwani mwenyekiti wa serikali za mitaa sijui nani nao wameunga chain ya kutafuta penye upenyo wa kuiba wapige kwa sababu aliyekuwa na uwezo wa ku-push mambo yakaenda alishaondoka.
 
Nadhani ni Pwani nzima maana hata Morogoro yapata mwezi mmoja sasa hakuna maji wakati mvua zinanyesha mpaka zinaua watu
 
Back
Top Bottom