DAWASA: Ujenzi wa Bwawa la Kidunda (Morogoro) linalojengwa katika mkondo wa Mto Ruvu umefikia 27%

DAWASA: Ujenzi wa Bwawa la Kidunda (Morogoro) linalojengwa katika mkondo wa Mto Ruvu umefikia 27%

Kutuhabarisha kuhusu miradi mbalimbali nchini kupitia jf
Hizo habari zimetapakaa kwenye vyombo vya habari na tovuti za serikali ni wewe tuu kuchungulia haihitaji Mapambano yeyote
 
🚮🚮

Mradi umeanza kujengwa mwaka juzi unaleta upuuzi wako saizi?

Samia ana maelfu ya miradi sio tuu ya kusema Bali ya kuonesha across sectors
Samia au Serikali?

Huu uchawa mwaka huu utawapindisha kibyongo😃😀😆
 
Miradi ya Samia? Kwa ivo Samia asipokuwa Rais hiyo miradi itakufa?

Uchawa ni tabia inayofuja utu wa mtu.
Ndio inaweza Kufa,Iko wapi Bagamoyo Port?

Hukuona miradi ya majengo ya serikali ilikufa awamu ya 5?

Hukuona programu ya Kilimo.kwanza ilikufa awamu ya 5?

Na hata Sasa Nina uhakika akitoka Samia wakaja wale watu wenu wa dini Ile sekta kibao zitakufa .
 
Ndio inaweza Kufa,Iko wapi Bagamoyo Port?

Hukuona miradi ya majengo ya serikali ilikufa awamu ya 5?

Hukuona programu ya Kilimo.kwanza ilikufa awamu ya 5?

Na hata Sasa Nina uhakika akitoka Samia wakaja wale watu wenu wa dini Ile sekta kibao zitakufa .
Kuna haja gani ya kuwa na Serikali kama Kila kitu kinaweza kufanywa na mtu mmoja?

Hiyo miradi unayosema haikujadiliwa bungeni na kupangiwa bajeti? Nafasi ya wabunge kwenye hiyo miradi Iko wapi?

Hiyo miradi ilibuniwa na Samia?
 
Kuna haja gani ya kuwa na Serikali kama Kila kitu kinaweza kufanywa na mtu mmoja?

Hiyo miradi unayosema haikujadiliwa bungeni na kupangiwa bajeti? Nafasi ya wabunge kwenye hiyo miradi Iko wapi?

Hiyo miradi ilibuniwa na Samia?
Sgr,bwawa la Nyerere,Kigongo busisi,Ununuzi wa ndege nk vilijadiliwa na kupangwa na Bunge lipi?

Anaepanga vipaombele Vikuu hapa Tanzania ni Rais.

Hao unaoita Serikali wanafanya according ya matakwa na maono ya Rais.

Hata saizi alitaka kuwa na vipaombele vyake hakuna wa kuzuia,Bunge hakina chochote Cha kufanya mbele ya Executive
 
Wakikataa manake wanasema Bunge livunjike kabla ya tenure Yao,Wana hiyo jeuri?

Nani akatae wakati Mwenyekiti wake ndio ameleta Bajeti?
Kwa ivo bunge letu ni chui wa karatasi mbele ya Rais?

Kumbe tuna bunge "rubber stamp" Kwa Kila matakwa ya Rais? Sasa ile miezi miwili wanayokaa kujadili bajeti kumbe ni maigizo tu😳
 
Kwa ivo bunge letu ni chui wa karatasi mbele ya Rais?

Kumbe tuna bunge "rubber stamp" Kwa Kila matakwa ya Rais? Sasa ile miezi miwili wanayokaa kujadili bajeti kumbe ni maigizo tu😳
Sio kazi ya Bunge kufanya confrontation na Executive Bali kazi Yao ni kushauri,kusimamia na kutunga sheria ikiwemo sheria ya Bajeti
 
Sio kazi ya Bunge kufanya confrontation na Executive Bali kazi Yao ni kushauri,kusimamia na kutunga sheria ikiwemo sheria ya Bajeti
Kwa ivo ili kuepusha "confrontation" na Serikali bunge hupitisha kila kinacholetwa na Serikali?

Kumbe wabunge wa CCM wanamuogopa zaidi Mwenyekiti wao kuliko wananchi?

Ina maana mwenyekiti wa CCM akiwa na mawazo ya hovyo wabunge watayapitisha Kwa kuwa hawawezi kumbishia?

Kwa maelezo yako haya hakuna haja ya kuwa na Bunge.
 
Kwa ivo ili kuepusha "confrontation" na Serikali bunge hupitisha kila kinacholetwa na Serikali?

Kumbe wabunge wa CCM wanamuogopa zaidi Mwenyekiti wao kuliko wananchi?

Ina maana mwenyekiti wa CCM akiwa na mawazo ya hovyo wabunge watayapitisha Kwa kuwa hawawezi kumbishia?

Kwa maelezo yako haya hakuna haja ya kuwa na Bunge.
Kila kinacholetwa ndio nini? Kazi nzuri ya Samia ndio inaongea
 
Back
Top Bottom