mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Migomba mingi ...miti mingi ni kivutio cha mvuaUkimwambia mtu aliyepo Bukoba kwamba kuna sehemu Tanzania hawana mvua, atakushangaa, kila baada ya siku moja inanyesha mvua ya kutosha
KUNA WAKATI TULIONA HOJA ZAO, NI KELELE KWETU.
Endeleeni kushikilia hapo hapo ili watanzania waendelee kujionea vile uongozi mbaya unaweza kuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye maisha yao ya kila siku.
Viongozi wa Upinzani wanakula zao bata kwenye majumba yao.
Biashara imerudiii
KUNA WAKATI TULIONA HOJA ZAO, NI KELELE KWETU.
Masaki hakuna shida ya maji sio?