Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Baada ya malalamiko ya Mwanachama wa JamiiForums.com kudai Wananchi wa Mtaa wa Muheza na Tankini, Kibaha-Maili Moja Mkoani Pwani hawana huduma ya maji kwa muda wa wiki moja, Mamlaka imeto ufafanuzi.
Kusoma malalamiko ya Mdau, bofya hapa ~ Wananchi wa Tankini na Muheza - Kibaha hatuna huduma ya maji wiki sasa, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA), Everlasting Lyaro amesema:
Hili eneo la Muheza kuna Mkandarasi wa TARURA alipitisha greda kwa ajili ya kutengeneza Barabara kuanzia siku ya Jumatatu mpaka Jumanne ya week iliyopita.
Akakata mabomba ya nchi 6 ambayo yanasambaza huduma ya maji eneo la Maili Moja mpaka Mpiji.
Juzi tumelitengeneza baada ya Mkandarasi kununua vifaa vinavyohitajika.
Kazi imefanyika juzi na kukamilika.
Kusoma malalamiko ya Mdau, bofya hapa ~ Wananchi wa Tankini na Muheza - Kibaha hatuna huduma ya maji wiki sasa, DAWASA hawatupi majibu ya kueleweka
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA), Everlasting Lyaro amesema:
Hili eneo la Muheza kuna Mkandarasi wa TARURA alipitisha greda kwa ajili ya kutengeneza Barabara kuanzia siku ya Jumatatu mpaka Jumanne ya week iliyopita.
Akakata mabomba ya nchi 6 ambayo yanasambaza huduma ya maji eneo la Maili Moja mpaka Mpiji.
Juzi tumelitengeneza baada ya Mkandarasi kununua vifaa vinavyohitajika.
Kazi imefanyika juzi na kukamilika.