kaka kikatiba
Member
- Oct 15, 2014
- 8
- 4
Nimekua nikipata tatizo la bili ya maji kuongezeka sana kias kwamba ninapata waswas maana tangu nibadilishiwe mita iliyokuwa imefubaa haisomeki vzuri, sahiz bili ya maji inakuja kubwa mpaka natamani irudishwe ya awali.
Kama kuna mtu ana uelewa anijuze hizi mita zina utofauti upi isijekuwa nimefungiwa ya matumizi ya kiwanda!
Kama kuna mtu ana uelewa anijuze hizi mita zina utofauti upi isijekuwa nimefungiwa ya matumizi ya kiwanda!