KIMARA BRIDGE
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 262
- 270
Kwa masikitiko makubwa sasa mmeamua kula nje ya kamba naona mnatunia mipira inayovutika. Hivi ni kwa nini maji hayatoko kwa siku nnee?
Na hamtoi taarifa yeyote, hivi nyinyi mnatuchukuliaje sisi wenye nchi au mnataka tutanguilie mbinguni. Raisi wa nchi ini msimamizi na sisi ndiyo boss wakee, bull crap.
Sasa kama maji yasipotoka usiku huu, leteni jeshi Kimara mwisho. Na wewe Aweso, ni kima tu, endelea kupanda VXR yetu, one day you will regret.
Na hamtoi taarifa yeyote, hivi nyinyi mnatuchukuliaje sisi wenye nchi au mnataka tutanguilie mbinguni. Raisi wa nchi ini msimamizi na sisi ndiyo boss wakee, bull crap.
Sasa kama maji yasipotoka usiku huu, leteni jeshi Kimara mwisho. Na wewe Aweso, ni kima tu, endelea kupanda VXR yetu, one day you will regret.