DAWASCO wanakwamisha ilani

Mambo mengine ya kitaalamu hayahiyaji siasa boss
Mtadanganywa mambo ya kitaalamu mpaka mnazeeka
Mbona huko duniani hawakosi maji na nchi zingine zina ukame lakini huduma zipo ila kwa hapa tanzania ambapo misitu kibao ma maziwa bado mnasubili mambo ya kitaalam
 
Huyo mwamba wenu mbona hakuweza kuyashinda mahuti,acheni kumpaisha binadamu Kama nyinyi,

Matahira wakubwa,

Acheni Rais apige kazi msimpangie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…