Mtadanganywa mambo ya kitaalamu mpaka mnazeekaMambo mengine ya kitaalamu hayahiyaji siasa boss
Asee sielewi mi nimetumiwa mzigo tuSouth Africa wapi naweza kupata perfume Bei poa? Nije kuwalangua mademu huko Bongo
Poa. Perfume zinauzika balaaAsee sielewi mi nimetumiwa mzigo tu
Yeah zinatembea mnoPoa. Perfume zinauzika balaa
Huyo mwamba wenu mbona hakuweza kuyashinda mahuti,acheni kumpaisha binadamu Kama nyinyi,DAWASCO wanakwamisha utekelezaji wa ilani kwa kutokusambaza maji kwa kila Kaya kabla ya 2025.
Pia, wanafurahia mgao wa maji, haiwezekani jiji la Dar es Salaam likose maji kwa siku7 mfululizo na CEO bado anachekelea kwenye V8, full kiyoyozi.
**** Na OPRAS anajaza kila Quarter.
NB: Enzi za Mwamba huyo boss angekua ashatumbulia akisubiri matokeo ya tume akiwa mtaani, kachakaa
Mwamba wa nchi toka UhuruHuyo mwamba wenu mbona hakuweza kuyashinda mahuti,acheni kumpaisha binadamu Kama nyinyi,
Matahira wakubwa,
Acheni Rais apige kazi msimpangie