Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Mtadanganywa mambo ya kitaalamu mpaka mnazeekaMambo mengine ya kitaalamu hayahiyaji siasa boss
Mbona huko duniani hawakosi maji na nchi zingine zina ukame lakini huduma zipo ila kwa hapa tanzania ambapo misitu kibao ma maziwa bado mnasubili mambo ya kitaalam