Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Ni 4 million within a single week buddahJoker isha hit 2+milion saizi within 1 week
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 4 million within a single week buddahJoker isha hit 2+milion saizi within 1 week
Rihanna si anamuigaga Sia kuimba,,pia Sia kahusika kuchora ngoma nyingi za Bad girl riri kama Diamond kaichora yeye(Sia)Wasanii ambao numiza kichwa kuwatofautisha sauti ni rihhana na sia
Yap sikumakinika hiyo record ya 2 milion ilikua ni siku za nyuma kabisaNi 4 million within a single week buddah
Hata kwenye background music ya movies sia kashiriki sana. Pia sia ni writter lakini rihana sidhaniRihanna si anamuigaga Sia kuimba,,pia Sia kahusika kuchora ngoma nyingi za Bad girl riri kama Diamond kaichora yeye(Sia)
Kinda like Joyner kwa kweli au Eminem. Probably amekuwa influenced by Eminem.Hahahaha nawewe kumbe unatamanigi kama mimi ile iwe full!?,,sema ana'sound kama Joyner kwa mbali ivi,,Kama YG anavo'soundigi kama Marehemu Chinks
Hutajutia muda wako Kama ww ni mpenda rap music.Ngoja nizame Youtube nimcheki
Hivi kutusua mziki kwa Wacanada ni mpaka wahamie USA au vipi mazee.
Celine Dion, Justin Timberlake, Drake, Justin Bieber, The Weekend, Dax and so on...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali mkuu.Sure mkuu bila kuhamia kule una struggle saana japo siyo kuwa huwezi tusua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap man,,et Scars anabishaKinda like Joyner kwa kweli au Eminem. Probably amekuwa influenced by Eminem.