Dah jamaa. Unakata pale Njiapanda ya Tosa.. LongtimeNjoo nyabula
Nenda Sao hili ukapigwe baridi la miti ๐น๐น๐นHabari wakuu.
Kwa wakazi na wenyeji wa Iringa, naomba kufahamishwa vivutio au sehemu ambazo zinavutia nje ya mji ambazo itakuwa day trip...namaanisha nitakwenda na kurudi kulala mjini.
Ninatanguliza shukrani.
Glenn
Rami mwanzo mwisho. Tatizo zimekaa opposite direction.Good, barabara ni changarawe au lami?
Hakuna kitu uko. Ata mbuzi tu hakuna. Usiende.Kuna nini huko boss
Mafinga. Na huu mwezi wa 6 ataimba.Nenda Sao hili ukapigwe baridi la miti ๐น๐น๐น