Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hivi michoro ya kale si Kondoa boss?
Kwa Iringa panaitwa je?
Kuna sites mbili, hiyo ya Kondoa na mingine ipo Iringa Isimila...
Ukiwa unatoka Iringa kwenda Tanangozi, site ipo upande wa kushoto hata ukiwa barabarani unaiona kwa mbali...