Day Trip Iringa

Day Trip Iringa

Nenda mafinga,then nenda Mgololo,hiyo njia utakutana na msitu wa kufa mtu na huko kuna mashamba ya chai kuna club Wanacheza golf huwezi juta, ukirudi mafinga mjini pitia kwa Babu kuku,choma kuku nusu ule na ndizi za mzuzu na nyama hiyo.Ukiwa unaelekea hiyo club mpigie Mr.Kibiki +255 762 863 658.Naamini njia hiyo hutatamani kuto enda Tena,again sio lazima kwenda mbugani wakati misitu tuu ni good scene.
 
Nililala Makambako Siku Moja nikaomba wanipe blanket 2, maana baridi ilikuwa inapiga balaa

The other day nilienda Njombe ndani ndani huko, kwenyewe napo ni zaidi ya Makambako

Maana sio Kwa baridi ile

Wote ukanda mmoja huo, hadi huko kwa kina mama Makinda...
 
Naanzia wapi Mjukuu, Kila mlimbwende anasema eti nilikula Ujana na nani nije nimalizie Uzee kwake 😜

Yaani nilipata shida kweli kweli na lile baridi 🤗
Basi hao wana matatizo, ulivyo mbona unalipa kabisa..!
 
Very Boring city ...... Dah! Nilienda kikazi once sitamani tena kurudi huko
 
Basi utakuwa ungali Kijana wa below 30 yrs

Huwezi kuvaa singilendi Kwa hilo baridi la Makambako 🙌

Wasalimie hapo Mgahawa wa Warangi, nikipita hapo lazima niende kula mgahawani kwao
Grahams,ukikutana na mimi usiponiamkia nakata rufaa ya maisha.
 
Kaenda June. Unategemea nini? Ikifika saa 12 mji unalala.
Nilienda June pale Miami nikafungua dirisha kaunta pale ghorofani jamaa walinimind sana na kuanza kunilaumu Mimi nimezoea baridi labda nimetokea mufindi au mafinga huko ndiyo maana siogopi lile baridi. Tuligombana sana na wadau kwasababu wao wanajifungia lkn ukumbi unakosa hewa
 
Haipiti siku ujaniambia hii sentensi,
Toa locations za Iringa watu wakatalii
Umeona unisisitizie hapo location kule kwenye Fuvu la Mkwavinyika Mkwawa au Kaburi la Baba wa Mkwawa lipo lile ambalo ukienda eneo la Kaburi hauruhusiwi kuingia na viatu viatu unavua mbali sana mule unaingia peku
 
Back
Top Bottom