stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Majibu yako yana majibu mengine ndani yakeMchumba angu ni wewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu yako yana majibu mengine ndani yakeMchumba angu ni wewe tu
Nililala Makambako Siku Moja nikaomba wanipe blanket 2, maana baridi ilikuwa inapiga balaa
The other day nilienda Njombe ndani ndani huko, kwenyewe napo ni zaidi ya Makambako
Maana sio Kwa baridi ile
Na Uzee huu nawezea wapi hayo mambo 🤗🙌We phala miami ulifiata malaya wa chuo hahaha
Baridi hiyo inaisha na fresh milk,na mazoezi kidogo tuuMafinga. Na huu mwezi wa 6 ataimba.
Haipiti siku ujaniambia hii sentensi,Majibu yako yana majibu mengine ndani yake
Aisee Kwa lile baridi Bora kuishi Mikoa ya Pwani ama Kanda ya Ziwa 🙌Wote ukanda mmoja huo, hadi huko kwa kina mama Makinda...
Naanzia wapi Mjukuu, Kila mlimbwende anasema eti nilikula Ujana na nani nije nimalizie Uzee kwake 😜Babu ukutafuta mlimbwende akupunguzie joto lake?
Basi hao wana matatizo, ulivyo mbona unalipa kabisa..!Naanzia wapi Mjukuu, Kila mlimbwende anasema eti nilikula Ujana na nani nije nimalizie Uzee kwake 😜
Yaani nilipata shida kweli kweli na lile baridi 🤗
Basi utakuwa ungali Kijana wa below 30 yrsNipo hapa Makambako nimevaa "singilendi" muda huu.!Utakoma ubishi.
Comment gani?Kuna comment naisubiri.
Eti nalipa 😅🙌Basi hao wana matatizo ulivyo mbona unalipa kabisa..!
Grahams,ukikutana na mimi usiponiamkia nakata rufaa ya maisha.Basi utakuwa ungali Kijana wa below 30 yrs
Huwezi kuvaa singilendi Kwa hilo baridi la Makambako 🙌
Wasalimie hapo Mgahawa wa Warangi, nikipita hapo lazima niende kula mgahawani kwao
Bado sijaiona.Comment gani?
Hahaha....... unataka kusema umekula chumvi nyingi kunizidi?Grahams,ukikutana na mimi usiponiamkia nakata rufaa ya maisha.
Huo upo city center kabisa pale pembeni ya night club ya royal tour4. Uwanja wa Samora.
Nilienda June pale Miami nikafungua dirisha kaunta pale ghorofani jamaa walinimind sana na kuanza kunilaumu Mimi nimezoea baridi labda nimetokea mufindi au mafinga huko ndiyo maana siogopi lile baridi. Tuligombana sana na wadau kwasababu wao wanajifungia lkn ukumbi unakosa hewaKaenda June. Unategemea nini? Ikifika saa 12 mji unalala.
At least you have been a real gentleman!🙏😎Hahaha....... unataka kusema umekula chumvi nyingi kunizidi?
By the way, tangu lini Wazee wakaamkiana
We always shake hands in our own way 🤗
Umeona unisisitizie hapo location kule kwenye Fuvu la Mkwavinyika Mkwawa au Kaburi la Baba wa Mkwawa lipo lile ambalo ukienda eneo la Kaburi hauruhusiwi kuingia na viatu viatu unavua mbali sana mule unaingia pekuHaipiti siku ujaniambia hii sentensi,
Toa locations za Iringa watu wakatalii