Unajua sana kuulizia mambo yetu....unapita mbaaali ila watakupa muongozo tu.Bro Hizo sehemu sio rafiki kwangu.
Mount royal, sunset ndio nspenda nikiwa huru
Moja ya mikoa ambayo sijafika. Nitapita weekend moja.Mzee mwenzangu toa muingozo mkuu🤣🤣
Karibu Iringa life bomba kabisa
Hii Unaingilia Wapi?2. Tembelea jiwe la Gangironga. Ni view utaona almost mji wote wa Iringa.
🤣🤣🤣🤣
Kama upo na pochi lako sawa, maana hiyo mitaa saa 1 tu unabakia mwenyewe.Bro Hizo sehemu sio rafiki kwangu.
Mount royal, sunset ndio nspenda nikiwa huru
Zipo nyingi sana, kwa idadi ya watu wake na spenders.Mkuu ni kweli watu sio wengi pale lkn sio haba.
Iringa sehemu nzuri ni chache sana
Haha raia wengi wanamiminika miami..na tishio huku ni ROYAL TOUR inasomba kijijiZipo nyingi sana, kwa idadi ya watu wake na spenders.
Hapo ni wewe tu, machaka yapo mengi. johnthebaptist saidia huyu ndugu.
KifyasiKifyasi tulikuwa tunaishia Ilala kwa Mlyuka tu ingawa yeye alikuwa mkarismatiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaeza enda sehemu moya wanaita kihesa kilolo, kuna swing/slide ya kamba toka upande mmoja hadi mwingine. Kabembee mkuu [emoji3][emoji3].
Pia usisahau kupata ulanzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa.Watu mnakula bata jaman[emoji16].ngoja na mimi niendelee kujitafuta siku moja niende japo Mbuga za wanyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii khaaahMKoa huu wakiingia wachaga wenyeji watalia sana, ni washamba sana kibiashara, ukiuliza vitu wanajibu kwa ukali kama wanadaiwa vikoba[emoji23]
Pabayaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iringa mjini
View attachment 3006670
Hapanaaa!! Napenda vi slant vya kawaida, km kwetu kunyumbaa.Unapwnda maghofa wewe haha